What Are Tanzanians good at or renowned for ?Je watanzania wanatambulika kwa jambo gani duniani?

Wengi wepi hao, una proofs? Hamna hiyo kitu tena, ilikuwa zamani. Tatizo wakenya mmestuck kwenye nadharia za zamani kuhusu Tz. Bakini hapo hapo.
wanadhani hii ni tz ya 90s...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kipindi nipo ng'ambo someone asked me.. what Tanzania is famous for?? Nikamuuliza what Africa is famous for?? Akanijibu all the bad stuff.. hunger, political conflicts, refugees, diseases etc..

Nikamwambia Tanzania is not famous because it doesn't have any of those.. we don't make headlines because we don't have post elections conflicts or terrorism within our borders and we don't register hunger (unlike most of our neighbors north and west [emoji6][emoji6])..

Nikamuuliza what do you like about Africa.. akanijibu warmth of its people.. wildlife, culture etc.

Nikamwambia Tanzania has all of them..

Hata majirani mnajua you can't beat Tanzania when it comes to hospitality... And we are proud of having it.
 
.....alafu baada ya hayo yote akakuuliza, where exactly is Tanzania??? [emoji1]
 
Tunatambulika kwa kuwaoa wakenya...
Hili lina ukwel kabsa...labda niongezee maarifa kwann wadada weng wa kiKenya wanapenda sana Watz au ni rahisi kukubali kuingia nao kwny mahusiano??
 
Let me rephrase:
Naye akamjibu..Mimi nimezaliwa na kusomea Africa na najua kutumia google maps, wewe uko marekani na umesomea marekani haujui? kwani masomo ya america ni duni kiasi gani?
The simple message(joke) reached the intended destination. You can move along now.
Well I take that as a joke [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
ume-catch ma-feelings brother.. [emoji23][emoji23][emoji23]

anyway kuwa mweusi sana sio kasoro ndio rangi yenyu mungu amewapea.
Naah bro. Sina mafeelings. Ni vile tu umeweka tamko lako kidhihaka hivi. Hamna ubaya na uweusi.
 
Note the word "we always deal with quietly" by H.E. JMK. Kama nilivyosema sisi bado hatujajua kupiga kelele kama watani zetu hawa. Sisi ni wakimya sana na tunafanya mengi kimya kimya. Unfortunately, most of the times the loudest get the most attention!
 
wabongo mbona mna domo domo nyingi, matatizo yenu hayaja sababishwa na Kenya, kuna wengine wansubiri ofisi za UN zije uko TZ eti ili uchumi wenu uinuke😳🙄 nani atamsaidia na mbilikimo asha chemsha tayari.
 
 
uchawi na ushirikina...picha inayokuja akilini baada ya kuskia neno tanzania ni watu wanaowawinda albino kwa fikra za kijinga za kutafta utajiri...
mnajifanya mko smart kumbe ni wanga wa kutisha,huyo bibi hapo inaweza kuwa ni bibi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…