What are the list of things that makes your wife & husband or fiancee successful??

What are the list of things that makes your wife & husband or fiancee successful??

...Yuk! hapa nimetoka ZERO kabisa.
I bet, am a bad husband, kila nikiwaza jibu linanirudia mimi.


NO COMMENTS.
Mkuu unayowaza ni mabaya nini? Or you are trying to reflect the past imenibidi nicheke ulivyosema "I bet I'm a bad husband"
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
si unajua ankal, wanaume waaminifu darsalama tumebaki wachache sana. wewe haumo kabisa kwenye listi. na husninyo hii offer akipoteza kaz kwake
Ankal mimi na wewe huwa tunaelewa sana ila ikifika hapo ndio huwa natamani nikuchanganyie Chloride Exide siku moja kwenye maji l.o.l
 
...Yuk! hapa nimetoka ZERO kabisa.
I bet, am a bad husband, kila nikiwaza jibu linanirudia mimi.


NO COMMENTS.
mkuu mbu bora wewe umekuwa mkweli. hawa wengine wanaishi kwenye movie ya titanic. sjui caring, sjui love, sjui faith wakati hivyo vitu hata kwenye dikshineri vinataka kutolewa kwavile haviexist tena kwenye real life.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu unayowaza ni mabaya nini? Or you are trying to reflect the past imenibidi nicheke ulivyosema "I bet I'm a bad husband"

...Spot On!...kila nikijaribu kuwaza mema, mabaya yanazidi uwiano!
Nadhani nimesoma posts nyingi sana JF wiki hii, am just so Grumpy!
Wikendi njema wakulu!
 
Ankal mimi na wewe huwa tunaelewa sana ila ikifika hapo ndio huwa natamani nikuchanganyie Chloride Exide siku moja kwenye maji l.o.l
ankal hapo bado nimekuwekea tinted kidogo na kukupaisha, adhawaizi ankal CV yako inahitaji scientific editing ndio imuimpress BJ. khaa!
 
mkuu mbu bora wewe umekuwa mkweli. hawa wengine wanaishi kwenye movie ya titanic. sjui caring, sjui love, sjui faith wakati hivyo vitu hata kwenye dikshineri vinataka kutolewa kwavile haviexist tena kwenye real life.

They do exist ila huwezi pata ingredients zote!..like me I'm super caring, honest, understanding, adventurous, live and supportive...at same time nina weaknesses zangu ambazo partner wangu inabidi azi-accomodate!!
 
I'm being honest madai, ha ha..I'm gonna make a good wife🙂))
hu is that kaka in your profile?!! du!!
Dont tell me you are in love with him already, I know for sure you cannot resist what you feel l.o.l
 
Sisi tusionao je????
Love is in the AYYYYYEEEER!!!
A%20S-heart-2.gif
:love::hug:
 
They do exist ila huwezi pata ingredients zote!..like me I'm super caring, honest, understanding, adventurous, live and supportive...at same time nina weaknesses zangu ambazo partner wangu inabidi azi-accomodate!!
BJ hii dunia na majaribu ya ki leo unaweza ukawa na hizo ingredients zote na still ukachemsha. hivi kweli dunia ya leo unaweza ukajiamini kusema kwamba wewe ni honest? i doubt!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
They do exist ila huwezi pata ingredients zote!..like me I'm super caring, honest, understanding, adventurous, live and supportive...at same time nina weaknesses zangu ambazo partner wangu inabidi azi-accomodate!!

...mnh, angalau BJ umekuwa mkweli. Ingawa mnh, ukishakuwa na hizi Qualities; Honest, Understanding and supportive, Iweje tena uwe na weakness? pls usinijibu vibaya, leo 'najiskia ku commit suicide' tu!
 
ankal hapo bado nimekuwekea tinted kidogo na kukupaisha, adhawaizi ankal CV yako inahitaji scientific editing ndio imuimpress BJ. khaa!
Poa wewe endelea tuone kama ukija nitakupa tena verse za kuwakamatia mabinti wa kitaa
 
...mnh, angalau BJ umekuwa mkweli. Ingawa mnh, ukishakuwa na hizi Qualities; Honest, Understanding and supportive, Iweje tena uwe na weakness? pls usinijibu vibaya, leo najiskia ku commit suicide tu!

Mbu sijawahi kuona ukilalamika definitely this week has not been gud to you, hebu mueleze BJ labda anaweza ku-accomodate what's lacking
 
dah! mkuu inaonekana kuna bom ndani ya hii sredi. acha niipitie kidogo.

Taratibu bana. Mimi sredi hiyo imeniondolea kabisa maana ya kuishi dunia ya mapenzi.
Acha tu ni sign out JF sasa...
Nitarudi kesho.
 
Taratibu bana. Mimi sredi hiyo imeniondolea kabisa maana ya kuishi dunia ya mapenzi.
Acha tu ni sign out JF sasa...
Nitarudi kesho.
Ndio hivyo Mbu this is the world we are leaving, but we can not conclude that the same thing might happen to you sema tu ndio inakufanya uchoke kabisa na uone kama haina maana, hapo ndio umenikumbusha wimbo wa JOE THOMAS- LOVE DON'T MAKE NO SENSE
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom