What did you read in 2013?

What did you read in 2013?

Sio kiingereza!! Huu ni uzi wa wote....na kama unachochote ulichosoma mwaka janatafadhali share na sisi!! Karibu mkuu..

nakubaliana na ww mkuu.ishu siyo kiingerez.ni vitabu mtu alivyosoma huyu mwacha asepe mbona ht vitabu vya kiswahili km kasoma si ashare na ss?
 
Mkuu Kiranga kuna kitabu nimeona kwenye list yako cha ramanujan!! Huyu jamaa nlisomaga a short history of him kwenye vitabu vya chand...nahitaji kujua zaidi kuhusu yeye...unaeza nsaidia softcopy ya kitabu chake(a man who knew the infinity)?? Maana nimejaribu kugoogle nimeambulia patupu!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kiranga kuna kitabu nimeona kwenye list yako cha ramanujan!! Huyu jamaa nlisomaga a short history of him kwenye vitabu vya chand...nahitaji kujua zaidi kuhusu yeye...unaeza nsaidia softcopy ya kitabu chake(a man who knew the infinity)?? Maana nimejaribu kugoogle nimeambulia patupu!!

Cheki PM mkuu.
 
Last edited by a moderator:
I must admit I no longer read books........I only read book reviews in Newyork Times and the Guardian Uk via my android. Ensuing from this there are no itinerary excuses of why I can't read more.............and; of course, I have to appreciate that I cover more than a thousand books in a year through the eyes of others. But over the years, I have also developed a mechanism to limit the damage of over-relying upon the opinionated views of the others........the book critics, I mean.

So if I have to go through that over a "thousand books" list I run in another barrier of remembering the titles......that task becomes fuzzier and fuzzier.......so my advice to you is just peruse the book editorials from your android then you will learn more albeit in the telescopic eyes of the book editors who may be nursing some spiel interests of their own! There is this "Mike Tyson" Biography which stood out for me more than the combined reading of mine in 2013 because I love heavy weight boxing........Not the blah-blah I confronted there, though!

For those pressed for time, or just not into reading whole books, this is a great way to capture the most by reading with economy.

In my case, I hardly trust critics, as their tastes and objectivity may be rooted in factors I don't share, so I would read the NYT book review, as well as WSJ and The New Yorker, and somewhat base what I would read full length on that, with that caveat.

There I would kinda augment my sense of which books are unnecessarily bloated, which authors are repetitively going over the same things in subsequent books, which books are overrated, underrated, important to westerners but not me, worth the time reading etc.
 
For those pressed for time, or just not into reading whole books, this is a great way to capture the most by reading with economy.

In my case, I hardly trust critics, as their tastes and objectivity may be rooted in factors I don't share, so I would read the NYT book review, as well as WSJ and The New Yorker, and somewhat base what I would read full length on that, with that caveat.

There I would kinda augment my sense of which books are unnecessarily bloated, which authors are repetitively going over the same things in subsequent books, which books are overrated, underrated, important to westerners but not me, worth the time reading etc.

Most books are repetitive but since not all of them, it gives me a reason to peruse more hoping to catch something afresh. .......and, I sadly establish the World of books never change: it is an institution of copycats who seldom learn.
 
Alter list yangu haipo kabisaa 🙁 (In the sense you know what I mean). This year Inshaallah...

I know you diligently read Koran last year but what else?
 
Most books are repetitive but since not all of them, it gives me a reason to peruse more hoping to catch something afresh. .......and, I sadly establish the World of books never change: it is an institution of copycats who seldom learn.

You are writing like an old bibliophile professor friend of mine. Like EMT , he likes to scan books for only what he needs and does not read the full Monty anymore. He uses the table of contents and index extensively.

But he is in his seventies, a specialist, and he read voraciously in his youth to get to that stage, to put it in perspective.

If the subject is right and the narrative engaging, I don't mind doing the full Monty.

As Roulette said, as long as it is enjoyable and enriching (and there is time of course)I am for reading the full book.

But of course, the reviews provide a great tool to keep abreast as you mentioned.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Bless you Roulette, it feels so good ku-share mawazo katika jambo kama hili
2013 nilipata bahati ya kusoma
1. History of Tanzania - edited by Kimambo and Temu
2. The teaching of Buddha – Bukkyo Kyokai
3. Treasure in clay (autobiography) of Fulton Sheen
4. The confessions of St Augustine
5. Einstein for Everyone – Robert Piccioni
6. A briefer history of time – Prof Hawking
7. Black Holes and Baby Universes and other essays – Prof Hawking
8. Life worth Living – Fulton sheen
9. The confessions of an economic Hitman – John perkins
For this year 2014 I have already read my brief history by Prof Hawking (memoirs)
My plan is to start reading the universe in a nutshell – Prof Hawking

Roulette, watu huwa tunalalamika kujisomea inachosha, muda hakuna ila nashauri kwa wadau wote, ukipata muda pitia kitabu chako mdogo mdogo hivyo hivyo utafika tu...
 
dah!! mie nimesoma mavitabu ya kishule shule tu. mwaka huu nataka nisome vitabu vya kuniinspire. mwenye soft copy ya kitabu cha the secret mwandishi rhonda jamani naomba. shukrani
 
Roulette
Kwenye thread ya mwaka juzi nilisema nampango wa kusoma vitabu 12, hebu ngoja nione kama vilifika. Kwa kawaida napenda sana adventure books .
1.the time machine-ni fiction, ni kitabu kizuri kinachojaribu kuelezea evolution kwenye mtazamo wa use and misuse. Kinaelezea jinsi wasionacho wanaweza wageuka walionacho. Ni kizuri sana japo cha zamani.

2.king Solomon mines- hiki wengi mnakijua, macumazahn!.

3.The hobbit- niliona kusubiri movies kuta ni frustrate nikaamua nipige kitabu yaishe.

4. The game of thrones (the song of ice and fire)- ni series ya vitabu vitano, ni kizuri sana hasa sehemu za tyrion (wengi mtakuwa mmeona series yake)

5.Animal farm- kitabu cha George orwell- kipo kwa mtindo wa kuchekesha ila kina maana pan asana, kinaelezea jinsi watu wanaweza struggle pamoja na baadae kusalitiana baada ya mafanikio. Kizuri sana viongozi wa upinzani wakisoma.

6.Dune- hii ni series inahusu space adventure,ecology, science fictions na politics . ni kama vitabu 18 vingine kaandika baba(frank albert) na vingine mtoto wake.kuna watu cunning sana humo. Nimesoma vitabu kama 10.
Baada ya kusoma sana vya adventure nikajiuliza, Napata faida gani?. Nikaamua kubadilisha vitabu. Nikaanza kusoma social psychology (napenda psychology)

7.Blink the power of thinking without thinking- kitabu cha malcom gladwell. Anaeleza jinsi ambavyo binadamu tunafanya maamumuzi bila kuwa aware kwanini tunaamua vile. Mfano bongo star search huwa wanatafuta mwanamuziki lakini unaweza kuta wakachagua mtu kutokana na uzuri, confidence au swagga bila wao kujua.

8.Outliers- kitabu gladwell. Ni boonge la kitabu!. Anajaribu kujibu swali kwanini wengine hufanikiwa na wengine hushindwa. Anajibu why bill gate, why steve jobs, why Rockefeller why jews? Etc. mjasiriamali au kwa mzazi anaemtakia mema mwanae inabidi kusoma hiki kitabu.

9. The tipping point- cha gladwell. – anajaribu kujibu. How and when epidemics occurs?.

10. Predictably irrational- bonge la kitabu! . kinaeleza jinsi ambavyo tuko irrational katika decision making na mbaya zaida irrationality yetu ni predictable. Pia anazungumza jinsi makampuni yanatumia hiyo fursa kutuexploit. Kama wewe ni employer au mtu wa marketing inabidi usome hiki kitabu.

11.Confessions of economic hitman-hiki ni kitabu serious sana kati ya nilivyosoma mwaka huu. Ni dizaini yakina snowden na assange. Jamaa anaeleza jinsi WB na IMF zinasaidia mabeberu kutuexploit. Ukisoma hiki kitabu kila ukisikia WB utakuwa unahuzunika. Zamani nilikuwa nadhani USAID ni shirika la misaada humo ndo nikajua na kirefu chake!. Ningependa wabunge kabla ya kuingia bungeni iwe sharti kukisoma.

12. Nilivyoenda kuzimu na kurudi tena duniani- ni kitabu cha P. kaskasi. Kinazungumzia uchawi na habari za kuzimu. Nimesoma part one natafuta part two.

13. Yeremia, Ayubu na Ezekia navyo si ni vitabu!?.

Saa hizi nasoma BRIEF HISTORY OF TIME cha Stephen Hawking
 
So, this last year i read variety of books; from autobiography to those books written to help people in "personal growth" matters. I have read, Knight in Africa - J.K Chande, Long Walk To Freedom - Nelson Mandela, and Freedom And After - Tom Mboya. I have read "7 Habits of highly Effective people - Stephen R Covey.

Also i have read fictions, My Gal Sunday - Mary Higgins Clark.

Bila kusahau na Fundamentals to Sociology - Diana Kandel.
 
So, this last year i read variety of books; from autobiography to those books written to help people in "personal growth" matters. I have read, Knight in Africa - J.K Chande, Long Walk To Freedom - Nelson Mandela, and Freedom And After - Tom Mboya. I have read "7 Habits of highly Effective people - Stephen R Covey.

Also i have read fictions, My Gal Sunday - Mary Higgins Clark.

Bila kusahau na Fundamentals to Sociology - Diana Kandel.

I read Chande's book a couple of years ago. How did you like it?

Kuna sehemu alikuwa anaibonda sana Dodoma wine, juzi nikaona review ya kimataifa inaisifia Dodoma wine kama one of the wines to watch from Africa, nikasema I hope Sir Chande reads this.

Jamaa alimpa Mkapa Range Rover Vogue back in 95 kumpongeza, nikafikiri Ben atalikataa, hakulikataa.Kila nikienda Sea View nalikuta.

Kitwana Kondo kutaka kumpongeza akaambiwa atangaze gazetini.
 
Roulette
Kwenye thread ya mwaka juzi nilisema nampango wa kusoma vitabu 12, hebu ngoja nione kama vilifika. Kwa kawaida napenda sana adventure books .
1.the time machine-ni fiction, ni kitabu kizuri kinachojaribu kuelezea evolution kwenye mtazamo wa use and misuse. Kinaelezea jinsi wasionacho wanaweza wageuka walionacho. Ni kizuri sana japo cha zamani.

2.king Solomon mines- hiki wengi mnakijua, macumazahn!.

3.The hobbit- niliona kusubiri movies kuta ni frustrate nikaamua nipige kitabu yaishe.

4. The game of thrones (the song of ice and fire)- ni series ya vitabu vitano, ni kizuri sana hasa sehemu za tyrion (wengi mtakuwa mmeona series yake)

5.Animal farm- kitabu cha George orwell- kipo kwa mtindo wa kuchekesha ila kina maana pan asana, kinaelezea jinsi watu wanaweza struggle pamoja na baadae kusalitiana baada ya mafanikio. Kizuri sana viongozi wa upinzani wakisoma.

6.Dune- hii ni series inahusu space adventure,ecology, science fictions na politics . ni kama vitabu 18 vingine kaandika baba(frank albert) na vingine mtoto wake.kuna watu cunning sana humo. Nimesoma vitabu kama 10.
Baada ya kusoma sana vya adventure nikajiuliza, Napata faida gani?. Nikaamua kubadilisha vitabu. Nikaanza kusoma social psychology (napenda psychology)

7.Blink the power of thinking without thinking- kitabu cha malcom gladwell. Anaeleza jinsi ambavyo binadamu tunafanya maamumuzi bila kuwa aware kwanini tunaamua vile. Mfano bongo star search huwa wanatafuta mwanamuziki lakini unaweza kuta wakachagua mtu kutokana na uzuri, confidence au swagga bila wao kujua.

8.Outliers- kitabu gladwell. Ni boonge la kitabu!. Anajaribu kujibu swali kwanini wengine hufanikiwa na wengine hushindwa. Anajibu why bill gate, why steve jobs, why Rockefeller why jews? Etc. mjasiriamali au kwa mzazi anaemtakia mema mwanae inabidi kusoma hiki kitabu.

9. The tipping point- cha gladwell. – anajaribu kujibu. How and when epidemics occurs?.

10. Predictably irrational- bonge la kitabu! . kinaeleza jinsi ambavyo tuko irrational katika decision making na mbaya zaida irrationality yetu ni predictable. Pia anazungumza jinsi makampuni yanatumia hiyo fursa kutuexploit. Kama wewe ni employer au mtu wa marketing inabidi usome hiki kitabu.

11.Confessions of economic hitman-hiki ni kitabu serious sana kati ya nilivyosoma mwaka huu. Ni dizaini yakina snowden na assange. Jamaa anaeleza jinsi WB na IMF zinasaidia mabeberu kutuexploit. Ukisoma hiki kitabu kila ukisikia WB utakuwa unahuzunika. Zamani nilikuwa nadhani USAID ni shirika la misaada humo ndo nikajua na kirefu chake!. Ningependa wabunge kabla ya kuingia bungeni iwe sharti kukisoma.

12. Nilivyoenda kuzimu na kurudi tena duniani- ni kitabu cha P. kaskasi. Kinazungumzia uchawi na habari za kuzimu. Nimesoma part one natafuta part two.

13. Yeremia, Ayubu na Ezekia navyo si ni vitabu!?.

Saa hizi nasoma BRIEF HISTORY OF TIME cha Stephen Hawking

"Confessions of an Economic Hitman" nimekisoma miaka michache iliyopita, ni kitabu kizuri sana, hasa kwa sisi wa nchi "changa" ambao hatuna adequate checks and balances kwenye systems zetu.

Majuzi kuna member mmoja alileta thread hapa kuhusu bandari ya Bagamoyo na ku question validity yake with a strong opinionated view that it was just a "White Elephant" project.

Nikakumbuka sana hiki kitabu.

Unaoanishaje mambo yaliyomo katika kitabu hiki na habari za bandari ya Bagamoyo?
 
I read Chande's book a couple of years ago. How did you like it?

Kuna sehemu alikuwa anaibonda sana Dodoma wine, juzi nikaona review ya kimataifa inaisifia Dodoma wine kama one of the wines to watch from Africa, nikasema I hope Sir Chande reads this.

Jamaa alimpa Mkapa Range Rover Vogue back in 95 kumpongeza, nikafikiri Ben atalikataa, hakulikataa.Kila nikienda Sea View nalikuta.

Kitwana Kondo kutaka kumpongeza akaambiwa atangaze gazetini.

Knight in Africa ni autobiography nzuri kuhusu maisha ya Mzee JK Chande napenda ku "recommend" watu wakitafute hiki kitabu wasome.

And yes, kuhusu Dodoma wine ni kwamba JK Chande aliona uendeshwaji wa kiwanda cha "wine" Dodoma haukuwa sawa. Wakati yeye anachukua jukumu la kuongoza "a newly nationalized Milling Industry" mwaka 1968 sera ya serikali kuhusu "wages and income" aliona itakuwa tatizo kubwa katika "ku-promote" ukuaji wa sector hii. Alipata kumtaadharisha Waziri muhisika kuhusu hili.

Labda mazingira ya wakati ule nchi ndio kwanza inaanza kujenda uchumi wake ilikuwa sababu tosha ya kumsukuwa kuona kuwa Dodoma Wine haikuwa na hadhi iliyotakiwa. Kumbuka kuwa JK Chande yeye alikuwa mtu wa "private sector" kabla ya sera ya Utaifishaji.

Alifananisha Dodoma wine na wine nyingine zinazotengenezwa South Africa au Australia, pengine hii haikuwa sawa nchi hizi zinatofauti kubwa sana na iliyokuwa nchi changa ya Tanzania. Labda aliona kuwa Waitaliano (wamishonari) walioanzisha zao la Zabibu mwaka 1950 hawakuacha msingi mzuri wa kuendeleza kilimo hiki Dodoma.

Kwakeli JK Chande ameongelea hili jambo kwa mapana sana katika AND WINE AND BREAD AND BOXES. Kuanzia mtu aliyeitwa Derek (mzungu aliyepata nafasi kwenye serikali ya Mwl Nyerere) na tofauti iliyokuwepo baina yao.

Kwa maoni yangu nadhani, kama ulivyosema, Dodoma Wine inafanya vizuri ni kinywaji kizuri inastahili kusifiwa.
 
"Confessions of an Economic Hitman" nimekisoma miaka michache iliyopita, ni kitabu kizuri sana, hasa kwa sisi wa nchi "changa" ambao hatuna adequate checks and balances kwenye systems zetu.

Majuzi kuna member mmoja alileta thread hapa kuhusu bandari ya Bagamoyo na ku question validity yake with a strong opinionated view that it was just a "White Elephant" project.

Nikakumbuka sana hiki kitabu.

Unaoanishaje mambo yaliyomo katika kitabu hiki na habari za bandari ya Bagamoyo?
mi naona kama bado ni mwendelezo wa kutushawishi tufanye miradi mikubwa ambayo hatutakaa kulipa madeni. pia sidhani kama nchi ambazo itahudumia zina biashara kubwa kama jinsi mradi ulivyo mkubwa.ni mradi wa kontena milioni 20 kwa mwaka wakati ukijumlisha bandari ya Djibouti, Mombasa na Dar hazifiki kontena millioni 6 kwa mwaka.pia kuna bandari za lamu na Tanga zinajengwa!. naona wale jamaa walivyokuwa wanafoji economic impacts za miradi na sisi tumefanyiwa hivyo hivyo. mchina anatuingiza mkenge na atatunyonya sana huko mbele.
 
me 2013
the innocent man - john grisham
half a man twice a lawyer - john grisham
the lost symbols - dan brown
the big picture - ben carson (read a half of it in 2013 and finished the rest pages in 2014?
 
mi naona kama bado ni mwendelezo wa kutushawishi tufanye miradi mikubwa ambayo hatutakaa kulipa madeni. pia sidhani kama nchi ambazo itahudumia zina biashara kubwa kama jinsi mradi ulivyo mkubwa.ni mradi wa kontena milioni 20 kwa mwaka wakati ukijumlisha bandari ya Djibouti, Mombasa na Dar hazifiki kontena millioni 6 kwa mwaka.pia kuna bandari za lamu na Tanga zinajengwa!. naona wale jamaa walivyokuwa wanafoji economic impacts za miradi na sisi tumefanyiwa hivyo hivyo. mchina anatuingiza mkenge na atatunyonya sana huko mbele.

Yeah, I got the same sense.

Halafu ujue ubovu wa Wachina, system yao iko closed. Hawa Wanyamwezi na wazungu washaandikiwa vitabu sana, wenyewe washafanyiana ma expose washawekewa masheria kibao, systems za kisiasa zina political competition ma Democrats na Republicans wanaumbuana, mara wengine wame leak ma cables, mara kuna Snowden anamwaga mboga na ugali yeye mtu mmoja, basi angalau tunapata picha ya kujua wanafanya kazi vipi.

Wachina mtu akiandika kitabu kama hicho cha "Confessions" kutoa siri zao watamnyongelea mbali wakimkamata. Na wao uozo wao hatuujui, kwa hiyo mimi naona hii lack of transparency kama kitu kibaya sana.

Tunaweza kuiweka rehani miaka mia, tukarudi kwenye ukoloni wa Wachina, viongozi wetu wa leo wakawa "the new Mangungos".
 
Back
Top Bottom