What do girls actually mean when they say “Sipendi uongo”?

What do girls actually mean when they say “Sipendi uongo”?

Ina maana hujui maana/definition ya uongo sio?
Huwa inamaanishwa kama maana yake ilivyo

Haya

Screenshot_20230706-092623_Samsung Internet.jpg
 
Nitakupa unachotaka! Kumbe huna kitu! Ukiombwa tu tecno ya laki tatu mtihani
 
Joanah, niko na mchongo unaukamilisha hapa. Mimi ndio dalali wa kuiuza bandari, deal likitiki navuta10%. Nataka nikutoe hapa tukale good time Canada.

Ila usimwambie mtu!

Uongo wako mbona uko wazi sana 😅
 
Vizuri kujua mitego ya wanawake,anaweza akakwambia NITAKUPA CHOCHOTE UNACHOTAKA,MWILI WANGU MALI YAKO hah jifanye fyatu uombe chochote,"mshenzi mlawiti mkubwa"
 
Back
Top Bottom