heheee...yani waganda washaanza kuclear land na kucompensate waathiriwa lakini wewe waibuka huku na ndoto zako za alinacha...haya banaNope didn't say that because I knew exactly the final destination will be kakamega hahaha
Even me I did it exactly didn't you see my first post? I strongly congratulated you guys.b:8/FollowPaul Kagame✔@PaulKagameCongratulations KENYA for#SGRLaunch.3:03 PM - 31 May 2017279279 Retweets482482 likes
Labda ni Uganda ya machakosheheee...yani waganda washaanza kuclear land na kucompensate waathiriwa lakini wewe waibuka huku na ndoto zako za alinacha...haya bana
Bado ni forum changa, nafkiri kadri idadi ya members itakavyozidi like now, wataintroduce app yao.Forum yenu ni nzuri ila haipo kwenye mfumo wa app.
CoW members hawajaachana na Kenya katika kuendeleza mradi wao. Kumbuka alivyosema M7, ya kwamba kwanza ni kucompare mwanajibwa yupi atakuwa na kukuwa mwindaji hodari.Even me I did it exactly didn't you see my first post? I strongly congratulated you guys.
Kenya nzima haina forums yenye viewers wengi per day zaidi ya JF. Isitoshe JF ina applicationsBado ni forum changa, nafkiri kadri idadi ya members itakavyozidi like now, wataintroduce app yao.
Imagine JF ikiondolewa leo, kutabakia forum site gani kama hii Tanzania?Kenya nzima haina forums yenye viewers wengi per day zaidi JF. Isitoshe JF ina applications
There are plenty BTW don't compare tribal platform to respected JF. FYI before this there was Jambo forumsImagine JF ikiondolewa leo, kutabakia forum site gani kama hii Tanzania?
Ndicho kilichodanyika Kenya baada ya Mashada Forum kuondolewa.
There are also plenty of discussion websites in Kenya, though small. Kenyans however are not very interested in these forum sites for some reason, prefering to use either Twitter or Fb.There are plenty BTW don't compare tribal platform to respected JF. FYI before this there was Jambo forums
Tanzanians r in Facebook n Instagram too..There are also plenty of discussion websites in Kenya, though small. Kenyans however are not very interested in these forum sites for some reason, prefering to use either Twitter or Fb.
Yes, it was the stupidity of some stupid Kenyans, their irresponsible actions online that led to the demise of these very polular discussion boards, the most notable one being Mashada.
Bwana Majungu mwenyewe! Naona chuki imekusakama kooni si haba. Kenya itafikisha reli hadi Kisumu na M7 atalazimika kutafuta msaada wa reli ili atimize ujenzi Uganda. Ni jambo ngumu sana kubishana kuhusu vitu vilivyoko on the ground (SGR Kenya) na vitu vilivyoko katika fund-raising stage (TZ SGR).
CoW members hawajaachana na Kenya katika kuendeleza mradi wao. Kumbuka alivyosema M7, ya kwamba kwanza ni kucompare mwanajibwa yupi atakuwa na kukuwa mwindaji hodari.
Kenya imejitahidi sana, na miradi yake inaendelea vyema, huku ya Tz ikisemekana kukumbwa na matatizo. Je, wao kweli wataweza kungoja hadi msuluhishe haya matatizo yenyu kwanza, ambayo hata hayajulikani yataisha lini?
Elewa ya kwamba Rwanda na Uganda hawana chuki na Kenya, wala mapenzi ya dhati kwa Tanzania. Ni interest ya taifa yao ndio wanazingatia hapa.
Matatizo gani hayo? Naona unasoma vigazeti vyenu uchwara halafu unadhani kuwa unajua kila kitu.
Ni sawa kama tayari mko na fedha ya kuanza ujenzi wa mradi wenyu.
acha huyu bwegeheheee...yani waganda washaanza kuclear land na kucompensate waathiriwa lakini wewe waibuka huku na ndoto zako za alinacha...haya bana
Yetu macho.
toa ushuzi humu😀
toa ushuzi humu😀