What does Kagame and Museveni love and hate relation tells about the danger of EAC political federat

What does Kagame and Museveni love and hate relation tells about the danger of EAC political federat

..nakushauri usome joint communique za mikutano ya Ky,Rw,na Ug.

..mataifa hayo yameazimia ku-fast track kuelekea kwenye POLITICAL FEDERATION.

..Gen.Aronda Nyakairima wa Uganda ameteuliwa kuongoza a team of expert itakayo-deal na process ya political federation.

..kwa msingi huo suala la political federation lipo na linafanyiwa kazi. pia sikuelewi unaposema masuala ya ardhi hayapo. Je, una maana hiyo federation mtaunda hewani??

Mkuu Jokakuu, huyo Koba si mtu wa kubishana naye; you are wasting your time with somebody whose understanding is unusually low. Unabishaje kuhusu political fed kitu ambacho kipo wazi? Na wana fast track kwa sababu m7 anataka yy ndo awe first president wa EAC
 
Number 2 and 5 is all lies,number 4 is debatable and for number 1 and 3 Kagame is my HERO na hata Nyerere ali support!!

See yr thinking capacity..2 and 5 lies wakati hata mtoto wa nursery school hapa TZ anajua kagame threatened HE JM Kikwete? Why then didn't he try to make his dream true? Throwing other countries govt is heroism to you tutsi coz you are born with the spirit of violence. Hivi koba ulienda shule wapi? Au milio ya bunduki imeharibu ubongo wako???
 
1. I fail to understand kwa nini unasema waliowaua wazazi wako ni simply "wahutu" kwa kumaanisha wahutu wote wana share responsibility for that. While i sympathize with your loss, wale wakimbizi wa 1959 kama kagame (and maybe your family) walikuwa ni wale elites ambao walipinduliwa. Some of them even threw themselves in the river (may be the same one you are referring to) ili wasitawaliwe na 'watumwa'. So you see haikuwa simply vita dhidi ya watutsi, if that was true, where did those tutsi who died in the 94 genocide came from? I repeat, it was a revolution against the elite tutsi, not indiscriminate killing like kagame does in the congo under the guise of hunting fdlr. Ndio maana serikali iliyotokana na hayo mapinduzi ilitambuliwa dunia nzima.
Na lets not forget the fact kwamba even after mapinduzi, tutsis have always had their highest population in rwanda! Kama ingekuwa si hivyo majority ya watutsi si wangekuwa wakimbizi kama wewe? How do you explain your claim kwamba ulikuwa mkimbizi tanzania wakati kulikuwa na waziri kama lando ndasingwa kaka yake louis mushikiwabo kwenye serikali hiyo hiyo? Yeye alikuwa mtutsi nusu?
2. Concerning the hardships you went through mi siwezi kucomment kwa sababu siwezi kuverify ila naweza kukupa point zifuatazo.
  • tanzania ndiyo iliyowahifadhi 1959, hilo hata wewe unakiri.
  • tanzania imewapa uraia wengi tu, mmekulia hapa, mmesoma hapa, mmepata kazi na wengine mmeacha uraia mkarudi kwenu kama donald kaberuka phd, na wengineo.
  • tanzania hiyohiyo ikafanya jitihada za kusuluhisha migogoro yenu kupitia arusha accords.
  • baada ya "genocide" tanzania hii hii ikakubali kuweka mahakama ya ictr nchini kwetu, ambayo mpaka sasa ipo.
  • tanzania hii hii ndio iliyoipigia chapuo rwanda iingizwe kwenye eac, it wasn't your brother uganda, but us!
unaona hii maneno yako ya kuashiria we hate tutsis yasivyo na akili wachilia mbali ukweli? What obstacles did tanzanias put on your way? The truth ni kwamba you guys behave like children, mnadhani ufalme feki mliopewa na mbelgiji unatakiwa kudumishwa. Hatuko tayari hata siku moja kutetea ufalme wa watutsi over wahutu, sisi wenyewe tanzania ni zao la kulinda mapinduzi ya zanzibar. Siku zote tuko neutral, we have no reason ya kutetea wauaji, tuliwahukumu wahutu kwa makosa yao, na tutawahukumu watutsi kwa makosa yao. Angalia rekodi yetu kabla hujaongea.

asante sana mkuu jmal. Ila shida ni kuwa huwa hawapendagi ukweli kama huu..
 
Mmoja mwenye busara akiacha kijibu mjadala utaisha. It has no.meaning to humanity. Just hatred to benefit politician. Sijapenda manen yeno
kama huyapendi maneno yetu achana na hii thread..... hawa watutsi wenye ideology za kipumbavu ni lazima waelezwe (nasema wenye ideology za kipumbavu kwani najua sio wote wenye ideology za hivi)!....unless otherwise na wewe ni mmoja wapo....
 
Number 2 and 5 is all lies,number 4 is debatable and for number 1 and 3 Kagame is my HERO na hata Nyerere ali support!!

Hivi huyu dikteta Kagame anakulipa kiasi gani cha fesdha? Una kanusha mpaka ukweli wa wazi? WEWE umewahi kuwa na ukaribu na PK kama alivyokuwa nao Kayumba nyamwasa? siyo hiyo tu, PK alihusika na mauaji ya hayati Thomas Sankara pia.
 
And what is your point? huna idea na unachoongea na hujui Historia ya Rwanda ndio maana unakuja na upuuzi kama huu,and FYI genocide against tutsi haikuchagua elite or non elite,sad thing hizo garbage unazoamini na kuandika ndio walidanganywa wenzako wakabeba mapanga wakaanza kuua watutsi,say what you say lakini genocide against tutsi is a self explanatory na kilichokuwa kinaendelea Rwanda under Habyarimana...done and out with this topic!!!!

Umeshindwa kujibu lolote kwa heri
 
Endelea kuongelea ardhi na political Fed,wameshawajua ndio maana hata hawangaiki tena na TZ na wanaolalamika ni nyie wenyewe eti mmetengwa,hakuna mtu anataka kupoteza muda kwa blah blah acha kenyata ajipatie customers wa kudumu na wao wasafirishe mizigo yao bila usumbufu

..Sezibera alisema anataka kutushitaki.

..mimi napendekeza watufukuze kwenye EAC.

..kwa mtizamo wangu ni bora kuwa na bilateral relations na majirani zetu wa kaskazini kuliko hii jumuiya.

..kuhusu federation, Rw na Ug wataisikia kwenye bomba. Kenyatta yuko kibiashara zaidi kuliko kisiasa.

NB:

..ardhi ni muhimu kwa wa-Tz kwasababu 80% ya wananchi wetu ni wakulima na wafugaji.

..tusipokuwa makini na suala hilo tunaweza kuishia kuwa kama Somalia.
 
Hatua mie nakubaliana na wewe ,l know Kenyan wao wako after uchumi wao,napenda wanavyoplay game,
Kikwete alipotoa tamko kuhusu EAC only Kenya ndo walitoa tamko la kuunga mkono ,tafakari.
 
I think it's time for Tanzanians to leave mr Kagame alone and mind our own business. We do have a lot on our own plate, and it's just a mere nonsense to bash PK. I'd rather have PK to lead Tanzania and get the house in order than our absentee president who is out of touch with his people. Ukiondoa ujinga wa mavita, I think PK is a better leader than JK. Sorry!
 
I think it's time for Tanzanians to leave mr Kagame alone and mind our own business. We do have a lot on our own plate, and it's just a mere nonsense to bash PK. I'd rather have PK to lead Tanzania and get the house in order than our absentee president who is out of touch with his people. Ukiondoa ujinga wa mavita, I think PK is a better leader than JK. Sorry!

Then apply for rwandese citizenship. . You are not tied to the TZ land.. it is utter nonsense to give harsh comments to yr President like that..unless you tell me you are type of koba and his company..
 
Then apply for rwandese citizenship. . You are not tied to the TZ land.. it is utter nonsense to give harsh comments to yr President like that..unless you tell me you are type of koba and his company..
I'm a Tanzanian, and shall remain a Tanzanian. I do have ZERO TOLERANCE with incompetent leaders, and I refuse to be silenced by your harsh accusations. Again, PK (ukiondoa ujinga wake wa vita) is a better leader than JK. It hurts for me to swallow the reality, but that's a mere fact. Sorry!
 
Who are "these people", if you mean TZ aren't the same people you have always running to in refuge since the ages when you start killing each other?

good statement like cockroach killer!
 
I think it's time for Tanzanians to leave mr Kagame alone and mind our own business. We do have a lot on our own plate, and it's just a mere nonsense to bash PK. I'd rather have PK to lead Tanzania and get the house in order than our absentee president who is out of touch with his people. Ukiondoa ujinga wa mavita, I think PK is a better leader than JK. Sorry!

is a cockroach able to lead a human being?
 
..Sezibera alisema anataka kutushitaki.

..mimi napendekeza watufukuze kwenye EAC.

..kwa mtizamo wangu ni bora kuwa na bilateral relations na majirani zetu wa kaskazini kuliko hii jumuiya.

..kuhusu federation, Rw na Ug wataisikia kwenye bomba. Kenyatta yuko kibiashara zaidi kuliko kisiasa.

NB:

..ardhi ni muhimu kwa wa-Tz kwasababu 80% ya wananchi wetu ni wakulima na wafugaji.

..tusipokuwa makini na suala hilo tunaweza kuishia kuwa kama Somalia.

waambie hao wanafiki wakubwa, dawa yao inachemka
 
I happen to go over an old article (Kagame and Museveni troubled relationship | INYENYERI NEWS) and I couldn’t help myself thinking about the danger of EAC political federation that includes Kagame. This is the guy who has threaten the life of two sitting presidents in EA and we, or at least Kenyan, are letting him running the show since he has engineered the COW so far

Much like you going back to an old article herein. I, too....find myself talking about the same thing here. A while back here in JF I said Kenya and TZ are making a stupid mistake embracing Kagame for he is a killer and NOT a peace maker. Kagame has lot's of political enemies in Kenya who ran away from his regime. To get and destroy them easily he has to integrate in EAC. Kagame is NOT a good person as well as his mentor (Museveni)....this EAC as long as Kagame is there is doomed to collapse as he is only there for his interests which is to hunt for his political dissidents. We shall wait and see.
 
..Sezibera alisema anataka kutushitaki.

..mimi napendekeza watufukuze kwenye EAC.

..kwa mtizamo wangu ni bora kuwa na bilateral relations na majirani zetu wa kaskazini kuliko hii jumuiya.

..kuhusu federation, Rw na Ug wataisikia kwenye bomba. Kenyatta yuko kibiashara zaidi kuliko kisiasa.

NB:

..ardhi ni muhimu kwa wa-Tz kwasababu 80% ya wananchi wetu ni wakulima na wafugaji.

..tusipokuwa makini na suala hilo tunaweza kuishia kuwa kama Somalia.
Juzi Kenya wamesema hawakujua kuwa kuna baadhi ya mambo hadi JK alipohutubia bunge. Wanafahamu kuwa TZ ni mshirika wao mkubwa kuliko hao wengine kwa pamoja. Wakenya wameliona wakamwambia Uhuru anawapeleka wapi?

Anyways nilidhani akina Murutongore wangejibu hiyo article naona hawana jibu na inabaki kuwa kama ilivyo.
 
Mkuu Bongolander, umesema vizuri kwa sehemu kubwa; ila kagame sio good leader, he is a killer, violating human rights, these behavior disqualify him from being a "good leader", this may only be true to the extreme tutsi with evil ideologies of violence to take them to leadership because they think that, they are only ones who can lead others....kagame and museveni are responsible for the 1994 genocide in rwanda.. remember why they killed Prof. Jwani Mwaikusa...

Mkuu i can agree with you, and it is not a secret that Kagame is tutsi extremist, but can you really mention any President in this world who is not a killer? who does not violate human rights? who does not steal?...if you can may be that President will be impotent president. Uzuri wa PK ni kuwa ametuliza nchi kiasi na inapiga hatua kiasi, he is not a killer who ruins, loot and plunder his country. In African standards that qualifies him to be a good leader.
 
Back
Top Bottom