Itakuwa Bodaboda shade?Hiyo ni Bandari mnajenga au mtaro wa Maji?
All of them are being done concurrently..There is the Lamu SEZ, Naivasha Industrial Park,Uasin Gishu Industrial Park, Kisumu SEZ, Tatu City Industrial Park, Infinity Industrial Park, Viking Thirty Industrial Park.......Most sectors of the kenyan economy have undergone massive transformation in a short span of time . after we are done with infrastructure we should focus on manufacturing .
Hiyo yenu ya Bagamoyo ndio mtaro ya kupitishia maji ya choo ng'ombe hiiHiyo ni Bandari mnajenga au mtaro wa Maji?
Hivi vinyangarika vitalia hadi damu....Kaza nati kijana wa uhuru kazaaYaani hapo tumekamata Uganda ikakamatika, tunafuata asilimia 10% ambazo walikua wanafuata Tz, na pia Bukoba na Mwanza tunawatia kapuni kabisa.
Hawa hawana Airport huko,they have nestsHahaha wivu mbaya, I asked you here to show us airports za Arusha na Mwanza lakini hujaniletea hadi saa ii.
Sijui hiyo kitu itaondolewaje kwenye Ziwa??It's such a nuisanceHiyo bandari ya Kisumu watumiaji wakubwa ni meli za Tanzania.
Mkandarasi hajitaidi kuzuia magugu maji yanakuwa tatizo sana kwa propela za meli yananasa mpaka kutoka au kuingia inakuwa ngumu.
Kule Port Bell Uganda walikuwa na meli ndogo za kukata hayo magugu maji.Sijui hiyo kitu itaondolewaje kwenye Lake??
Yaliisha kweli?Hatu Kisumu tulikuwa nayo,we also tried Biological control but it didn't workKule Port Bell Uganda walikuwa na meli ndogo za kukata hayo magugu maji.
That's correct.Tukiacha our primitive competition and work for a common good we can make such a huge market in this part of the worldHii bandari ni muhimu sana kwa Afrika Mashariki yote tukiacha wivu. Itafungua biashara kati yetu in magical ways. Bandari hiyo ikiwa na meli sahihi itacut distance from the West of Victoria to the East and travel time by a day. With SGR in place the port can do magic.
Ni fursa kwa bidhaa za magharibi kufika Kenya na Ulaya kwa urahisi. Parachichi za Kagera na Burundi sasa zitaweza kufika Kenya for transhipment in a day. Hata mizigo ya Rwanda nayo itafika Kenya kirahisi. Bila kusahau Bandari ya Chato inaweza kuwa na manufaa kama itakuwa kiunganishi cha magharibi as a gate way to Kenya.
Tunahitaji kupunguza vikwazo vya kimipaka kufaidika kwa pamoja.