What does kisumu port construction means to Mwanza, Bukoba and Port Bell?

What does kisumu port construction means to Mwanza, Bukoba and Port Bell?

Well said mkuu. Ila kama unafatilia basi unajua kuwa serikali ina haha kutafuta financing ya SGR ya Northern circuit kuanzia Tanga port. Pia kuna SGR ya Mtwara kuelekea Mbamba bay. Hii nimeona kwenye bajeti ya mwaka huu imetengewa fedha ya upembuzi yakinifu na financial advisory.

Ila kuhusu upanuzi wa bandari za Tanga na Mtwara inaeleweka kazi inaendelea.
Uzinduzi wa NGR Dar-Tanga-Moshi wamesema treni itafika Musoma as a start! Kuna vijana wa jeshi wanasomea ujenzi wa reli katika SGR project.
 
Kumbe ni aina ipi ya madaraja yanayoweza amsha uchumi mkuu? Ungeelezea ni kwa vipi miradi kama hii haina positive impact kwa wananchi na nchi. Vinginevyo itaonekana unajadili usichojua.
You better spend that money to lay down an sgr line from Arusha to Musoma could make impacts on wananchi and the economy not like this bridge.
Although it yr money but not wisely allocated
 
40

40% down kwa kutumia reli ipi hii ya kwenye makaratasi au? Wewe kiazi subiri muimalize if at all u gonna finish it ndo uje kuongea sio unaropoka feelings na wishful thinking hapa
Unapizungumzia bandari ya Kisumu, unazunfumzia reli IPI?. SGR ya Kenya pamoja na kwamba ni diesel lakini pia wameshindwa kuifikisha Kisumu. Wachina wamekata kutoa pesa, na Kenya imeshindwa kuifikisha hata Naivasha, badala yake wameitelejeza porini, kilometa 40 kufika Naivasha, sasa unapizungumza bandari ya Kisumu, ni reli ipi unayozungumzia?
 
You better spend that money to lay down an sgr line from Arusha to Musoma could make impacts on wananchi and the economy not like this bridge.
Although it yr money but not wisely allocated
But how will SGR connect from Arusha to Tanga n Dar? SGR will come later!
 
Unapizungumzia bandari ya Kisumu, unazunfumzia reli IPI?. SGR ya Kenya pamoja na kwamba ni diesel lakini pia wameshindwa kuifikisha Kisumu. Wachina wamekata kutoa pesa, na Kenya imeshindwa kuifikisha hata Naivasha, badala yake wameitelejeza porini, kilometa 40 kufika Naivasha, sasa unapizungumza bandari ya Kisumu, ni reli ipi unayozungumzia?
Construction has resumed mapema June so wait,we brought a thread here look for it and money was secured from same China
 
Nyie wajanja mko na nn cha maana, sio kulima mnaweza sio chochote, mmekalia corruption, tribalism, mnashindwa kulisha wananchi wenu, kila mtu anakimbia Kenya [emoji23][emoji23][emoji23] uchumi wa kwenye makaratasi, ardhi inamililikiwa na wachache [emoji23][emoji23][emoji23], biggest slum in the world, slum kila kona kila county
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382] We always harvest from wajinga,are you not familiar with the saying "wajinga ndio waliwao"? [emoji848][emoji848]
 
You better spend that money to lay down an sgr line from Arusha to Musoma could make impacts on wananchi and the economy not like this bridge.
Although it yr money but not wisely allocated
Hahahaha, hili daraja ni muhimu sana kuunganisha vijiji vilivyopo upande wa PILI wa Ziwa Victoria na Mwanza, wanekuwa wakivuka kwa mitumbwi na ferry zisikua na usalama wowote, na wengi wanepoteza maisha kwa kuzama katika ziwa Victoria. Tanzania tunawajali sana wananchi masikini hasa vijijini, hiyo ndio tofauti kubwa kati ya Kenya na Tanzania, mambo kama haya ndio yanayoifanya Tanzania kuongoza Africa katika " Economic Inclusiveness " na Kenya kuwa nchi ya mwisho.
 
But how will SGR connect from Arusha to Tanga n Dar? SGR will come later!
Sgr is just gauge ya reli,the section from Arusha to Musoma you should build the sgr not necessarily to be electric it could be jointed sgr.This sgr will jion the meter gauge from Arusha to Moshi to Tanga
 
Construction has resumed mapema June so wait,we brought a thread here look for it and money was secured from same China
Never and Never will happen, China will never fund that project again. It is uneconomical and price is very much inflated.
 
Tatizo wakipewa mikopo, asilimia 50 ndo inaenda kwenye mradi husika [emoji23][emoji23][emoji23] alafu asilimia 50 wanakula
Never and Never will happen, China will never fund that project again. It is uneconomical and price is very much inflated.
 
Nyie wajanja mko na nn cha maana, sio kulima mnaweza sio chochote, mmekalia corruption, tribalism, mnashindwa kulisha wananchi wenu, kila mtu anakimbia Kenya [emoji23][emoji23][emoji23] uchumi wa kwenye makaratasi, ardhi inamililikiwa na wachache [emoji23][emoji23][emoji23], biggest slum in the world, slum kila kona kila county
Rudi kwenye reli mkuu naona unajifariji sasa.Kenya slums maeneo yanayojulikana Unlike Tzn the whole country ni slums huoni aibu
 
Sgr is just gauge ya reli,the section from Arusha to Musoma you should build the sgr not necessarily to be electric it could be jointed sgr.This sgr will jion the meter gauge from Arusha to Moshi to Tanga
Hivi wewe unazungumza kitu gani?. Kwahiyo unataka tununue set mbili mbili za locomotives and Wagons sio?. Yaani mizigo ikifika bandari isafirishwe na train tofauti, ikifika Arusha ishushwe na kuingizwa katika train zingine za SGR sio?.
 
You better spend that money to lay down an sgr line from Arusha to Musoma could make impacts on wananchi and the economy not like this bridge.
Although it yr money but not wisely allocated
Ngoja nikwambie kitu bro inaonekana hujaelewa kazi ya hili daraja..mtu akitaka kwenda Mwanza Mara au Shinyanga..kutokea Geita ,Kagera au Kigoma inabid asubirie kivuko ili kuvuka kwenye ziwa victoria..so unataka kuniambia hili daraja halina umuhimu kujenga .tujenge SGR Tanga - Musoma ??
Kuna project unaweza niambia hazina umuhimu ila sio hili daraja
 
Having one big ship while ..we are constructing a new one ..plus reviving other 3 ..in terms of ship and marine vessels we are ahead of you...MV uhuru is almost same age as MV Victoria.we are builiding a new 21st centrury ship

MV Victoria is the largest passenger vessel carrying 1200 passengers and 200 tons of cargo it is almost 80m in length

MV Uhuru and MV Umoja have the same size in length both being train ferries ..the can carry upto 1180tonnes 22 wagons..so it means on train ferries we are tie..

We are also construncting a new passeneger ferry 1200 passengers 400 tonnes and can carry up to 20 cars ..meaning it will be the largest at 90meters
Hizi unazoziona hapa zote zimetengenezewa Kenya!!! kwahivyo usifikiri hatuna uwezo wa kutengeneza mpya za Lake victoria





MUSSA-4.jpg



Mv.Alpha kirawira doking at Mocimboa da Praia port , Mozambique with transshipment cargo from Mombasa port

18357d59-1667-48dc-8884-275f702e12d2-original.jpeg

a534eeba-7d95-4f1f-a28e-7ed48fbd5527-original.jpeg


Same ship in Daresalaam



Alpha kirawira ikitumika kupeleka magari ya KDF hadi Kismayu Somalia
SUZPE.jpg



MV albert nile ferry ya Uganda
CrXNcEDWIAAmA8l.jpg




Lamu Shipping Line

uGe0OpGh.jpg

gBvJP8Th.jpg


MV KIlimanjaro ya TZ ikifanyiwa repair hapo Mombasa
KILIMANJARO-1.jpg



Pia MV. Ukombozi ikifanyiwa overhaul hapo Mombasa
MV-Ukombozi-dry-docked-at-the-SECO-yard.jpg






Unafaa ukumbuke kwamba Kisumu port haifanyiwi marekebisho tu, Inapanuliwa ili kuiwezesha kupokea meli kubwa zaidi, kumaanisha kunapangiwa meli kubwa zaidi

Plans are underway for the construction of a new Port in Kisumu to allow bigger vessels to dock at the once vibrant facility in the East African region. https://www.kpa.co.ke/Pages/Kisumu-Port-set-for-a-facelift.aspx
 
Yaani wewe ni kichaa kabisa. Unataka kufananisha Kisumu na Mwanza.
Kenya own only 6% of lake. While Tanzania 50%.
Ni kichaa pekee anaweza kuleta ubishi unaoleta humu.

So Kisumu boats zake zinaelekea wapi!?
Ndio mtajua hamjui. Tanzania is bigger, safer and more firtile compared to Kenya but Kenya doubles it's economy? How?
The reality is that Kenya has brains and better strategy compared to Tz.
 
Wewe hata huelewi kinachozungumzwa hapa, badala yake unazungumza vitu usivyojua. Wagon ferry haina kupanga containers, train inaingia kama ilivyo na kuvushwa ili kuendelea na safari ikifika port bell, Uganda.
Kunazo kama Mv.Norris (If i remember correctly) ambazo ilikua ni wagon-ferry na bado iko na deck ya kupakia contena

Hata hivyo ukiangalia hio mv. Uhuru from the front side utaona kwamba ina urefu wa kutosha
1280px-MV_Uhuru.jpg


Tena enzi hizo ilikua si lazima ibebe treni
KR_Uhuru.jpg
 
Back
Top Bottom