Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,669
Wamama/wadada mpo ???? Leo nataka kusema na nyinyi kidogo sana
Hivi kipindi wewe ni msichana unatembea na mume wa mtu unasababisha ile familia inalala njaa ,,watoto wanakosa ada,, mke anaonekana kazeeka hafai kwa ajili yako si uliona sawa kabisa kiasi ukaamua kutafuta na namba ya huyo mke wa mtu na kuanza kumtukana??? Mama wa watu anakesha kanisani huku akimwaga machozi
Yote hayo Mungu alikulinda huyo mwanaume asije kukufia gesti ,,, basi miaka imeenda umepata kijana mwenzio anataka kukuoa umefurahi na kusahau yote ulofanya(bila kutubu )ndoa imepita salama baada ya mwaka mwanaume anabadilika malaya hafai
Analala mpka nje kesi zinaanza hapo unaanza kuomba ushauri kwenye mitandao ya kijamii unaanza kwenda kwa waganga mara kanisani ,,,unafanya kila kitu hamna mafanikio
Sasa mwanaume yeye akiulizwa mbona hiv anasema "shetani kampitia" yes ni shetani kweli kampitia tena shetani mwenyew ni ww maana wanasena anayekuloga hatoki mbali matendo yako ya nyuma yamemloga mumeo, machozi ya yule mama(chozi la mnyonge halipotei) yameiloga ndoa yako,,
Wanawake wenzangu nawasihi sana usiku wa leo jaribu kutafakari wapi kwanza ulikosea kisha kaombe msamaha kama inawezekana ama nenda katubu kama ni kanisani ama msikitini ama popote pale kulingana na imani yako
Kwenu kaka zangu ikiwa ulikuwa huna tabia mbovu ila tangu umeoa ww mwenyew unajishangaa umebadilika gafla nenda kamuulize mkeo ""
Hivi kipindi wewe ni msichana unatembea na mume wa mtu unasababisha ile familia inalala njaa ,,watoto wanakosa ada,, mke anaonekana kazeeka hafai kwa ajili yako si uliona sawa kabisa kiasi ukaamua kutafuta na namba ya huyo mke wa mtu na kuanza kumtukana??? Mama wa watu anakesha kanisani huku akimwaga machozi
Yote hayo Mungu alikulinda huyo mwanaume asije kukufia gesti ,,, basi miaka imeenda umepata kijana mwenzio anataka kukuoa umefurahi na kusahau yote ulofanya(bila kutubu )ndoa imepita salama baada ya mwaka mwanaume anabadilika malaya hafai
Analala mpka nje kesi zinaanza hapo unaanza kuomba ushauri kwenye mitandao ya kijamii unaanza kwenda kwa waganga mara kanisani ,,,unafanya kila kitu hamna mafanikio
Sasa mwanaume yeye akiulizwa mbona hiv anasema "shetani kampitia" yes ni shetani kweli kampitia tena shetani mwenyew ni ww maana wanasena anayekuloga hatoki mbali matendo yako ya nyuma yamemloga mumeo, machozi ya yule mama(chozi la mnyonge halipotei) yameiloga ndoa yako,,
Wanawake wenzangu nawasihi sana usiku wa leo jaribu kutafakari wapi kwanza ulikosea kisha kaombe msamaha kama inawezekana ama nenda katubu kama ni kanisani ama msikitini ama popote pale kulingana na imani yako
Kwenu kaka zangu ikiwa ulikuwa huna tabia mbovu ila tangu umeoa ww mwenyew unajishangaa umebadilika gafla nenda kamuulize mkeo ""