Hajakaa akatulia ila alikuwa na wazo. Ameegemea upande mmoja sana bila kujua haea wanaume nao walishirikiNingetukana ila sitaki ban
Sasa wewe kwani wanawake unaowalaumu hapa huwa wanachepuka wenyewe kwa wenyewe?si na wanaume?
Au hiyo what goes around comes back around haiwi applied kwa wanaume wachepukaji?
Nasikitika kusema huna akili
[HASHTAG]#p0vuuuuuuuuu[/HASHTAG]
Wala usiwaze kabisaa, wewe uko humu JF muda mrefu sana !!.Nimeshajibu juu mimi n ke na ni mke wa mtu na maisha ni safiiiiiii sana mana nilishashtuka nikatubu [emoji1]
ine walitolewa bikita na waumr zaonna bado wanaume zaoneakawa vicheche. Acha kukariri. Kikubwa ni salaMalipo ya mkosaji lazima yalipwe hata kama utamhandle mwenza wako kwakumbeba wakati wote, kama ulitendea wenzako vibaya basi ujue yatakupata kwa kiwango kile kile, hii nikweli kabisa
Ww unayetumia akili walau akili kidogo nakuomba ufungue uzi kwa wanaume mm nawasema wanawake nawaojua wanaume watasemwa na wanaume wenzao ,,Hajakaa akatulia ila alikuwa na wazo. Ameegemea upande mmoja sana bila kujua haea wanaume nao walishiriki
Nasikitika kusema hakutumia akili
Ujuaji upi?Hehehe leo umepatikana kwa ujuaji wako huo
Unamkaba nan sasa kama hutumii tu akili?Ww unayetumia akili walau akili kidogo nakuomba ufungue uzi kwa wanaume mm nawasema wanawake nawaojua wanaume watasemwa na wanaume wenzao ,,
Naona nimewakaba mpka pa kupumulia hamna
Bado nitashuka na mwingine tena nitawakera mpka wanawake tubadilike
Wa kutosoma titleUjuaji upi?
Amesema leo zamu yetu kutuelezea wanawake kwanza...point yangu ilikuwa kama yakoHajakaa akatulia ila alikuwa na wazo. Ameegemea upande mmoja sana bila kujua haea wanaume nao walishiriki
Nasikitika kusema hakutumia akili
Nimesoma kila kitu na nimeelewa wazo la mleta mada,ila nilichoongezea mimi nahisi watu wamekichukulia negativeWa kutosoma title
Ok acha tumsubirAmesema leo zamu yetu kutuelezea wanawake kwanza...point yangu ilikuwa kama yako
Hamna loloteAsante Mama... Wanawake kama nyinyi ndo mnaopaswa kuolewa ,shida wanaume saivi niwachache tunaochagua sabab ya kichwa cha MTU.
Nmekupenda
Utakuwa mbaaaaayaaaaa hutongozwagi ndo maaana mapovu mengikassimneema sijapanik ila ujumbe wako ulitakiwa uwagusie jinsia zote...mana wote huwa wanasaliti
Binafsi hadi sasa sijawahi kutembea na mume wa mtu
Nahisi sio -ve ila ulijaribu kudeviate kidogo.Nimesoma kila kitu na nimeelewa wazo la mleta mada,ila nilichoongezea mimi nahisi watu wamekichukulia negative
ok.Hamna lolote
Usipojielewa mara nyingi utatoa povuNakushauri kunywa maji kwa wingi ,,kaa sehemu safi na tulivu ...[HASHTAG]#tubu[/HASHTAG]
Mambo
zo mgamdoUtakuwa mbaaaaayaaaaa hutongozwagi ndo maaana mapovu mengi
Female wanakuwa waume?We ni Ke au Me twanzie hapo