What happen???

What happen???

ikhlas

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
1,050
Reaction score
1,308
Japo sipendi kujadili maisha ya mtu,lkn hua navutiwa kujadili maisha ya masupa staa.Leo naomba wadau mnisaidie ,nini kimemkuta HASHEEM THABIT ,alianza vizur hadi akkandika historia ya kua Mtanzania wa kwanza kucheza NBA ,lkn ghafla,akawa relegated na sasa hayupo NBA tena.Je ataweta tena kurudi juu??
 
Back
Top Bottom