Well sana asee ....Kichwani cheif kwa kifupi hawa machali wa Nai nawakuli sana
HahahaNa ss kuna watu hatuwaon kwa game.... Man dojo. Na wengine wengi
Nikichek ukisonga songaaSiri ya mgambo ikilia ina jambo
Nami nina nilia kwa sababu ni jambo .....
Sista vipi mambo ? Aah poa
Nina kumind kishenzi
Wacha mchezo.............
Nikicheki ukidodondosa
Roho yangu inauma uma
Hiyo track .........
Longombas
Kuna uzi ulisema ni mateja sikuhizi wapo kariakoo nadhani upo kule kwenye burudaniNa ss kuna watu hatuwaon kwa game.... Man dojo. Na wengine wengi
Hiyo track ikisonga songa roho yangu inaumaa aah hiyo track ikisonga songa[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]Siri ya mgambo ikilia ina jambo
Nami nina nilia kwa sababu ni jambo .....
Sista vipi mambo ? Aah poa
Nina kumind kishenzi
Wacha mchezo.............
Nikicheki ukidodondosa
Roho yangu inauma uma
Hiyo track .........
Longombas
Kwel mziki wa kenya unakumbukwa kwa kwelNawakumbuka wale akitaka apakatwe...apewe...
Sanaaa..Kwel mziki wa kenya unakumbukwa kwa kwel
Dah! mwanangu umenikumbusha longomabaz aisee iv hawa jamaa waliendaga wapi?Siri ya mgambo ikilia ina jambo
Nami nina nilia kwa sababu ni jambo .....
Sista vipi mambo ? Aah poa
Nina kumind kishenzi
Wacha mchezo.............
Nikicheki ukidodondosa
Roho yangu inauma uma
Hiyo track .........
Longombas
Sijui hata ndugu yangu wako wapiDah! mwanangu umenikumbusha longomabaz aisee iv hawa jamaa waliendaga wapi?
Baadhi Yao wakali,ila siku hizi wanasikiliza sana bongo fleva wamesahau kwao...Kenya wanamtaja sana diamond,kiba,kiuno nyigu,ay,mdee,Sie huku wamebaki sauti sol tuKwel mziki wa kenya unakumbukwa kwa kwel
Hii je? Unakumbuka ni ngoma gani??I love the way she ........
Me love the way she wind
From 9 to 9 .........
You can see i dont wana ,i dont wana be alone
Tetetetemeshaaaaaa
Redsun
Hii nayo ilibambaacheki Monalisa anavyo tingisha
Nami nimebaki nimejazika
Wazee kila siku wanauliza
.........
Vultures
Aiseee wafanye kitu warudi tuUna maswali mengi Kwani we ni polisi...singing
Kenyan girl ,Kenyan boyHii je? Unakumbuka ni ngoma gani??
Nilikutana nae akipanda 23 karibu nami kaketi
Sikungoja sikuwait nikajidai excuse me una fegi?
Mi naitwa...... ( naficha jina)
We unaitwa nani na unatokea pande gani
Kama unapenda raggae nina collection nyumbani
If you don't mind tuka round mitaani