mountain
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 757
- 311
Nahis huyu jamaa ndo wa mwanzo mwanzo kwenye gamehakuna mkali kama issa aka E-SIR alifariki akiwa na miaka 21 mwaka 2003 kwa ajali ya gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahis huyu jamaa ndo wa mwanzo mwanzo kwenye gamehakuna mkali kama issa aka E-SIR alifariki akiwa na miaka 21 mwaka 2003 kwa ajali ya gari
Kunata ni ujuzi tu, lakini labda ila sidhani kama ni sababu,Nahis the way wanaongea.... Ni hard kufitisha kwenye beat.. Ingawa me si mtaalam wa muzik lakin huwa naonaga wapo baadhi walikuwa hawaend na beat.... I don't know if am right
.....niaje sistaaaaaaa......Niaje brooo [emoji23]
inshu ipo katika ku-promote kazi zao,kwa sababu wasanii wanazunguka na kazi katika daladala,bajaji na boda boda,wanafanya hivo kwa sababu ni kazi kwa media kupromte kaz zao,inshu kubwa ni mirahaba,yaani radio ikufanyie promotion then ikulipe,hata clubs ivo ivo,so nazani ndio inshu kubwa inayo waghalimu,bongo walianza hiyo inshu kwa wiki moja tu,radio ziliacha kabisa kupiga nyimbo mpaka wasanii walipo omba inshu ya mirahaba isitishweMkuu kwani unahisi culture yao imeweza vipi kuathiri lyrics zao?
Victoria born in LA originally from KenyaYeah...hivi kiman ni wa ug ama ke.?
Tunawachekiii.....niaje sistaaaaaaa......
I real miss him, Kenya wanajua sana hizi mambo.....
Machali leo hamna namna[emoji445] [emoji445] [emoji445]
Sijui hata ndugu yanguHivi wale calfonaeee wako wap?
Nimesikiliza zote mbili, jamaa wanajua, kumbe wanafanya raggae, ila huu uliza kiatu ndo nimeuelewa zaidi, mtamu sanaaSijui kimewatokea nini hawa jamaa zetu ,industry yao imepooza kuna band moja hivi ni mpya H-ART na nyimbo zao kama uliza kiautu ,nikikutazama
Hawa jamaa wa Camp mulla sijui ni pepo gani liliwapitia
Nmejikuta nasoma tuu mistar......Nina ka mwaka sijaigongesha
Mchezo bado sijaupoteza ni vile nimekua nikikusoma sasa na fantansize vile naweza kuona Smell ya perfume yako ni poa
Tena dress code yako ni ya power
Ina show feature zote upo nazo
No wonder kila mtu anataka apite nazo ...........
Umejibeba hata usipunguze
Nikiiweka hata usiulize
Nikigeuza hata usitetete
Na nikimaliza hata usinilenge
Wewe ni definition poa ya mwanamke
Mjanja size yake na bado ana makeke
Nikakukosa inaweza kuwa blunder sababu nahofia naweza rudia kuhanda ..................
Nani huyo kama unakumbuka??
Tunawachekiiiiii.....niaje sistaaaaaaa......
Hili nalo ni tatizo kubwa....... Sa nini kifanyike?inshu ipo katika ku-promote kazi zao,kwa sababu wasanii wanazunguka na kazi katika daladala,bajaji na boda boda,wanafanya hivo kwa sababu ni kazi kwa media kupromte kaz zao,inshu kubwa ni mirahaba,yaani radio ikufanyie promotion then ikulipe,hata clubs ivo ivo,so nazani ndio inshu kubwa inayo waghalimu,bongo walianza hiyo inshu kwa wiki moja tu,radio ziliacha kabisa kupiga nyimbo mpaka wasanii walipo omba inshu ya mirahaba isitishwe
Hahahaa wanajitahidi sanaNimesikiliza zote mbili, jamaa wanajua, kumbe wanafanya raggae, ila huu uliza kiatu ndo nimekuelewa zaidi, mtamu sanaa
NoniniNina ka mwaka sijaigongesha
Mchezo bado sijaupoteza ni vile nimekua nikikusoma sasa na fantansize vile naweza kuona Smell ya perfume yako ni poa
Tena dress code yako ni ya power
Ina show feature zote upo nazo
No wonder kila mtu anataka apite nazo ...........
Umejibeba hata usipunguze
Nikiiweka hata usiulize
Nikigeuza hata usitetete
Na nikimaliza hata usinilenge
Wewe ni definition poa ya mwanamke
Mjanja size yake na bado ana makeke
Nikakukosa inaweza kuwa blunder sababu nahofia naweza rudia kuhanda ..................
Nani huyo kama unakumbuka??
Hakuna ,haha, Flexx ngoma inaitwa amejibebaNonini
Lol[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nmejikuta nasoma tuu mistar......
Nahis wazir wa michezo wa huko hana bud kutilia mkazoHili nalo ni tatizo kubwa....... Sa nini kifanyike?
Hahahahaha duHakuna ,haha, Flexx ngoma inaitwa amejibeba