Nadhani watakua hawapo kwenye game kama tu kwa Tz kina Solid ground family wazee wa bush partyhuo wimbo wa sina noma nae na wale TATUU sijui , ule wimbo wao masaa ulikuwa poa sana sijui wameacha mziki?
Mziki wa Kenya umesonga mbele na pia kumechipuka wanamziki wapya ilhali wale wa zamani wamedidimia. Ukitaka mfano mzuri jaribu Willy Paul, Kalligraph, Rabbit (King Kaka), Octopizzo, Size 8 e.t.c
African King - Fena Gitu (Official HD Video)
hivi hawa Willy Paul na Bahati ni wanamziki wa nyimbo za injili au? tatizo lingine la Kenya wanachanganya nyimbo za dini zinapigwa club au redioni pamoja na za kina sauti Sol wakati ni tofauti.
Will paul na bahati wawekwe kundi moja na kina rose muhando
Hata ibra da hasla alifanya ngoma kadhaa na hawa jamaaHakuna anayekumbuka vijana wa UKOO FLANI MAU MAU,1.Kalamashaka,ilikuwa na kama,roba,vigetti aliyekuwa jela ametoka sasa ana wimbo mpya Mama,kali sana2.Wenyeji ilikuwa na zaka,swaleh,ule wimbo wao wa dandora L.O.V.E wakiwa na kah ulikuwa on point.afu3.Wakamba wawili,Labalaa na mwenzake,sijui walienda wapi,afu kando na vikundi bado ukoo flani maumau kulikuwa na Girongi wimbo wake fyatua! ulipigwa marufuku na serikali,pia Juliani,yeye pekee ndo aliyefanikiwa,Fujo makelele,Sharama duh!Upendo Kote Ole wenu Ombeni Funzo La Aliyetuumba Njia na Iwepo(maana ya ukoo flani) na maumau walikuwa wenye kipaji,sijui kuliendaje?
Alienda wapi ibra?Jamaa alikuwa na flow kali sana kwenye rap.Hata ibra da hasla alifanya ngoma kadhaa na hawa jamaa
Ukoo flani na Ibra Da Hasla walijitumbukiza kwenye madawa ya kulevya na career zao zikaishia hukoAlienda wapi ibra?Jamaa alikuwa na flow kali sana kwenye rap.
Mbona mmeisahau Ile......... ddKuna. waatu wengine wana tabia mbaya mbaya Sana.....watu wengine wana tabia mbaya kujisaidia barabarani....hiyo Ni tabia mbaya........