What happened to kenyan music jamani?

What happened to kenyan music jamani?

Back in the days hapa Tanzania, Nameless,Wahu,nNecessry noise,Prezzo ilkuwa shida,walibang na wengineo,

Siku hizi ukiongelea Kenyan music hapa Tanzania ni Sauti sol( damn i love these guys,kiukweli wako really ki music, huyu Diamond wetu ni overrated kabisa)na wale wadada wawili wanaitwa Elani kama sikose nini kimetokea jamani.

Kina Nyashiski wako wapi?tuendelee ma tusiendeleee?
Wakati wao umepita
 
Back in the days hapa Tanzania, Nameless,Wahu,nNecessry noise,Prezzo ilkuwa shida,walibang na wengineo,

Siku hizi ukiongelea Kenyan music hapa Tanzania ni Sauti sol( damn i love these guys,kiukweli wako really ki music, huyu Diamond wetu ni overrated kabisa)na wale wadada wawili wanaitwa Elani kama sikose nini kimetokea jamani.

Kina Nyashiski wako wapi?tuendelee ma tusiendeleee?
Kuna sheng y calif.....lakini sote tunaelewana! Jua kali!!!!
 
Sio lazima kwakweli.... Tunaeza enda home na kuchili[emoji4] [emoji4]
Mbona mmeisahau Ile......... ddKuna. waatu wengine wana tabia mbaya mbaya Sana.....watu wengine wana tabia mbaya kujisaidia barabarani....hiyo Ni tabia mbaya........
 
Mbona mmeisahau Ile......... ddKuna. waatu wengine wana tabia mbaya mbaya Sana.....watu wengine wana tabia mbaya kujisaidia barabarani....hiyo Ni tabia mbaya........
Asante sana mkuu Powder ni kweli hiyo ilisahaulika ila nayo ilibamba sana
 
Usimpe roho yako waza kwanza
Wapi tofauti yake nao
Sina noma nae ....

Baby una smile fresh sijui nikuite Mariah vile ume carry
Ring kwenye ....na smile ya hale bery ..........

Nyashski ...Kile roho yangu imeshachagua ishachagua
Na hiyo ni kitu nipo sure hata yeye mwenyewe anaju ...


huo wimbo wa sina noma nae na wale TATUU sijui , ule wimbo wao masaa ulikuwa poa sana sijui wameacha mziki?
 
Ba ba ba banjuka tuuuu ,naweka shida zangu chini mikono juu na ba ba banjuka tuuuu, aisee nimeimis ile midundo ya kikenya na zile nyimbo kutoka calif records
 
Back
Top Bottom