<what i noticed>

tatizo lenu vijana ni kwamba mnaingia kwenye mitandao ya jamii and u expect to find only like minded people...huo ni ujinga...wapo watu wenye mitazamo tofauti

Nakataa hoja yako,
Tunaingia mitandaoni kutafuta maarifa, kufahamiana ''ki-digitali''... na wala sio ujinga nikikupa changamoto, hii inasaidia kupanua mawazo yako....na mimi naipenda hiyo mitazamo tofauti. ukitumia neno UJINGA, umenidharau, wewe tumia lugha nzuri tu na utaeleweka
 
Kumbe tuko wengi..!! Mi ngoja nikatafute mkalimani.

Wala usijali ndugu yangu, Tanzania inakosa ''kujitambua'' kwa vile hatujui lugha ipi tunaijua vizuri, mimi nikiamua kiswahili-twende kazi, mwingine kingereza-haya.....najua inatuumiza ila ni misingi tuliyowekewa na wenye nchi. HATA HATUJUI LUGHA GANI TUNAIJUA VIZURI.. hahaaaaaa. we changi a unavyoelewa, hamna atakayekucheka, wote tunajifunza
 

Unaweza kuwa mkalimani wangu?
 

Really? Are you justifying "DIGITAL AGE" to the on-going problem of dating online? probably i'm still on the analog era and wouldn't want to change anytime soon.

Know that meeting "someone special'' in your life may take sometime, it may sound weird to you but i'm 33 now and still unable to ear-mark a woman to share my life with and possibly i'm the one on the wrong foot here... so let me use all means possible to get the one and only
thanx for your advice though.
 
You are not decent, why do you want a decent lady?
And the first thread was a research? You want the real thing no?
Get serious basi. Watu hawapo hapa kupoteza muda!

I'm not doing any research, i really want to meet someone and i'm decent. Anything to prove me wrong?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…