What if deep state wakiamua kuitaka katiba mpya?

What if deep state wakiamua kuitaka katiba mpya?

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,072
Reaction score
12,119
Kuna hali fulani hivi inaendelea ndani ya chama dola ambapo sitaweza kuizungumzia au kuandika hapa kwa kuwa nimezipata kama fununu tu mahali fulani kwa hivyo sina uhakika nazo sana.

Ila nikasema hebu niwashirikishe wadau humu .kwa mfano sasa deep state au mhimili uliojichimbia zaidi usioonekana wakaamua basi sasa tulete katiba mpya.

Je, hawa frontliners (ccm Hii tunayoijua ) wataendelea kupinga mchakato mzima wa katiba mpya isifanyike?

Mshana Jr nadhani kama mwonaji utakuwa na lolote la kusema[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

MÊmENtO HoMO
 
Unaweza kata mkono unaokulisha?utakuwa kichaa
 
Deep state wakiamua katiba mpya wataweza tu maana wana siri nyingi kuendesha mambo
 
A body of people, typically influential members of government agencies or the military, believed to be involved in the secret manipulation or control of government policy.

Ni hadithi nzuri sometimes.
 
Moderators naomba msiufute huu uzi.
Kuna hali fulani hivi inaendelea ndani ya chama dola ambapo sitaweza kuizungumzia au kuandika hapa kwa kuwa nimezipata kama fununu tu mahali fulani kwa hivyo sina uhakika nazo sana .
Ila nikasema hebu niwashirikishe wadau humu .kwa mfano sasa deep state au mhimili uliojichimbia zaidi usioonekana wakaamua basi sasa tulete katiba mpya. Je hawa frontliners (ccm Hii tunayoijua ) wataendelea kupinga mchakato mzima wa katiba mpya isifanyike?
Mshana Jr nadhani kama mwonaji utakuwa na lolote la kusema[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

MÊmENtO HoMO
Itakuwa bam bam
 
Mimi kama deep state member, nasema tuweni nasubira kidogo, tunawaletea katiba nzuri sana, itakayodumu hata miaka 100
 
Ccm unaqajua au unawasikia? Watademka na beat mpya na kuwananga kwamba katiba mpya ni agenda yao
 
Hivi kule Gine hakuna dipu steti.?
Kama wapo walukua wapi mpaka Akatokea mtumishi wa Mungu ,Jasiri na Mzalendo akaamua kuirudisha nchi kwa wananchi waliopo tayari kuifia nchi.

Wenye nchi tangu enzi za wafalme na machifu wa koo ni wanajeshi mana wanajitoa maisha yao kupigania nchi kwa maslahi duni bila kugeuza silaha zao na kuwaibia wananchi.

Hao wengine sijui dipu stiki au dipu steki au dipu steti wanatoa uhai wa wengine kutetea uhai wao na maslahi yao.

Wengi wao ni wapiga dili tu na wanashiriki kila ufisadi na wanalinda maslahi ya wapiga dili kwa kuwazimisha na kuwatupa wale wanaoonekana ni wazalendo na wapigania haki na maslahi ya umma.

Katiba Mpya haiwezi kuletwa na Wakoloni weusi kirahisi mana wanapigania maslahi yao.
Vinginevyo Mh. Rais wa awamu ya sita aamue kuvunja mtandao wa dhulma katika nchi hii ambao umejiimarisha ndani ya Chama cha Mapinduzi.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Mimi kama deep state member, nasema tuweni nasubira kidogo, tunawaletea katiba nzuri sana, itakayodumu hata miaka 100
Yupo unayemtafuta,au umejitoa kuwa upande wa wanyonge,wanyongwa?
 
Moderators naomba msiufute huu uzi.
Kuna hali fulani hivi inaendelea ndani ya chama dola ambapo sitaweza kuizungumzia au kuandika hapa kwa kuwa nimezipata kama fununu tu mahali fulani kwa hivyo sina uhakika nazo sana .
Ila nikasema hebu niwashirikishe wadau humu .kwa mfano sasa deep state au mhimili uliojichimbia zaidi usioonekana wakaamua basi sasa tulete katiba mpya. Je hawa frontliners (ccm Hii tunayoijua ) wataendelea kupinga mchakato mzima wa katiba mpya isifanyike?
Mshana Jr nadhani kama mwonaji utakuwa na lolote la kusema[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

MÊmENtO HoMO
Hao wakiamua wapingaji wote wanaweza ingia kwenye cleaning procedure.Kichaka chote kinafyekwa
 
Moderators naomba msiufute huu uzi.
Kuna hali fulani hivi inaendelea ndani ya chama dola ambapo sitaweza kuizungumzia au kuandika hapa kwa kuwa nimezipata kama fununu tu mahali fulani kwa hivyo sina uhakika nazo sana .
Ila nikasema hebu niwashirikishe wadau humu .kwa mfano sasa deep state au mhimili uliojichimbia zaidi usioonekana wakaamua basi sasa tulete katiba mpya. Je hawa frontliners (ccm Hii tunayoijua ) wataendelea kupinga mchakato mzima wa katiba mpya isifanyike?
Mshana Jr nadhani kama mwonaji utakuwa na lolote la kusema[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

MÊmENtO HoMO
Acha uzushi, CCM iko safi kabisa.
 
Back
Top Bottom