Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anabisha!?Mkuu nadhani hiyo Deep state ndiyo wanufaika wa Katiba hii mbovu! Hawawezi kukata mkono unaowalisha.
People create agencies in their own imaginations which in turn scare themA body of people, typically influential members of government agencies or the military, believed to be involved in the secret manipulation or control of government policy.
Ni hadithi nzuri sometimes.
Hii inafanyika bila kuacha kelele Wala footprint.inakuwa kama natural lakini kumbe ni watu wamefixKwenye hiyo cleaning procedures hizo si ndio kuna yale mambo mengine ya kutumiwa hit squad [emoji53][emoji53]
MÊmENtO HoMO
[emoji3][emoji3]Siku hizi wasiojulikana wamerudi kwa kasi ya 5G na wanasoma kila neno.. Tucheze kwa step.. Katiba mpya yaja... Tayari tumeshachungulia na hili si la DS bali ni mahitaji ya nyakatiKuna hali fulani hivi inaendelea ndani ya chama dola ambapo sitaweza kuizungumzia au kuandika hapa kwa kuwa nimezipata kama fununu tu mahali fulani kwa hivyo sina uhakika nazo sana.
Ila nikasema hebu niwashirikishe wadau humu .kwa mfano sasa deep state au mhimili uliojichimbia zaidi usioonekana wakaamua basi sasa tulete katiba mpya.
Je, hawa frontliners (ccm Hii tunayoijua ) wataendelea kupinga mchakato mzima wa katiba mpya isifanyike?
Mshana Jr nadhani kama mwonaji utakuwa na lolote la kusema[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
MÊmENtO HoMO
Mkuu, hao DS wamekuwa amplified beyond reality. We're erroneously giving them powers and authority which at all they don't possess. Strangely, CCM after knowing that we love and rely on conspiracy theories, they then capitalise on these conspiracies at the expense of our own livelihoods. It's high time now we should start living a political sober life for our own good[emoji3][emoji3]Siku hizi wasiojulikana wamerudi kwa kasi ya 5G na wanasoma kila neno.. Tucheze kwa step.. Katiba mpya yaja... Tayari tumeshachungulia na hili si la DS bali ni mahitaji ya nyakati
CCM after knowing that we and rely on conspiracy theories, they then capitalise on these conspiracies at the expense of our own livelihoods[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1533][emoji1533]Mkuu, hao DS wamekuwa amplified beyond reality. We're erroneously giving them powers and authority which at all they don't possess. Strangely, CCM after knowing that we and rely on conspiracy theories, they then capitalise on these conspiracies at the expense of our own livelihoods. It's high time now we should start living a political sober life for our own good