What if New World Order becomes true?

Someni HADITHI za Mtume Muhammad Mfahamu nani kiongozi, yuko wap na anakuja vp Duniani? Na nan a amuua..


SIO MNABISHANA ktk dini zenu UCHWARA
 
Mtume Muhammad (SAW) alipoulizwa na maswahaba wake juu ya Ishara kubwa za Kiyama; alizitaja 10 moja wapo ikiwa ni Ujio na Utawala wa Masihi Dajaad (Lucifer). Ambapo atajitanabaisha kama Mungu, na wote watakao mpinga watauliwa. Ingawa kuuliwa kwao itakuwa ndio kufaulu kwao kwa Kumkana shetani aliyejidhihirisha; na kumuamini Allah (Mola mmoja, Muumba). Watakao ishi ni wale tu watakao mtii yeye ambapo watakuwa wameangamia mbele ya Mungu.


Watu wanapaswa kumshika an Mungu ktk kipindi hiko (yaani zama hizi sasa). Malipo yao yatakuwa ni makubwa kuliko zama zozote zile. Pia ktk kipindi hicho waislamu watapingwa kila kona kwa vile Imani yao ni thabit na wanamwamini Mungu mmoja wa kweli.
Anaeleza pia Allah ktk Quran Surat Izaajaa...Kuwa hatimaye utawaona watu wakiingia ktk dini ya mwenyezi Mungu makundi makundi..(lakini itakuwa too late mithiri ya siku za mwisho za Farao).

So, suala hilo ni laukweli kabisa kwa Ref. ya Mafundisho ya Mtume Muhammad S.a.w na Quran. Ni muhimu kwa tuliojisahu kumrejea, kumtegemea, na kumuamudu Mola muumba.
 
umeflow ipasavyo Masterproud waislamu tukiwa na uelewa kama wako RAHA SANA KABISA! KABISA!, MASTERPROUD AND OTHERZ PROUD TO BE A MUSLIM.
 
Last edited by a moderator:
umeflow ipasavyo Masterproud waislamu tukiwa na uelewa kama wako RAHA SANA KABISA! KABISA!, MASTERPROUD AND OTHERZ PROUD TO BE A MUSLIM.


Mbona haya ktk biblia yalitabiliwa miaka Karibu 600 BC na kabla ya uislamu kuanza karne ya 6 AD na yanatimia kila Siku?

Sisi wakristo tunayaelewa haya vzr sn hasa wale wakristo wa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Mbona haya ktk biblia yalitabiliwa miaka Karibu 600 BC na kabla ya uislamu kuanza karne ya 6 AD na yanatimia kila Siku?

Sisi wakristo tunayaelewa haya vzr sn hasa wale wakristo wa kweli.

Wakristo wa kweli ni wapi..??
 
Hebu endeleeni kidogo, kuna waabudu sanam pia na wafu. Mama........utuombeee. sasa cjui akuombee mtu aliyejifia. Mi simo ila kama naona mwanga hivi
*****indian boy******
 

Osama au Boko haramu, ni viongozi wa taifa gani?
wapo wakristo wengine mbali na sabato wanaoamini NWO ipo njiani, hii ni kwa mujibu wa maandiko ya biblia. usijiwekee kuta nene za kutafuta nini upande wa pili unajaribu kueleza badala ya kutoa maneno makali makali.
 
Wakristo wa kweli ni wapi..??

Wasabato na wale wanaoipenda kweli watakuja kuisikia sauti ya Bwana na kumfata na kua Kundi moja na mchungaji mmoja..! Maana maandiko yanasema Imani moja, ubatizo mmoja..!

Karibu tena.
 

Ipo njiani..kwasasa imefika wapi..?? Hebu tupe kilometa ilulipofikia....

Kweli huyu mama wa Kimarekani kawaharibu ndugu zetu nyie..

Ila tutawanyoosha tuu
 
dini ya uislamu hawatoiweza kamwe ni dini pekee inayokataza maovu na machafu duniani.na ukristo ni wtandao wa masonik duniani.



Unapounadi uislamu wako usitafute kick kupitia ukristo,njoo katika hata viuno ukitaka,ili watu waukubari.ila

Ukitaja tu ukristo,ukauchafua kwa namna yoyote ile,utaonekana unataka fujo,sjui una moyo!!!???

Watu wakiamua kuuchafua uislam unaounadi,hutakaa hapa utakimbia ukajifungie ndani ulie.jiangalie.
 
Papal bloodlines.....!

 
Mkuu Ntuzu hivi Hellena alijiita Nabii au nyie ndo mlimpa cheo cha Unabii
 
Last edited by a moderator:
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…