What if New World Order becomes true?

What if New World Order becomes true?

Mkuu hatuko ktk mchakato! Tuko ktk utekerezaji! Yuko wp Sadam? Yuko wp Gadaf? Osama? Mubarak? KWELI hii ni unezaji Wa demokrasia? Au ni kuangusha tawala zisizo kubali matakwa Yao?

Asad Wa Syria anakosa gani?

Nani Yuko nyuma ya yote haya? Je ni USA? Roma?

Nice explanation
 
Dakika moja ya wapi wewe mbumbumbu....Unataka kutuletea ngonjera za lesson za dhehebu la Kahaba la Kimarekani Hellen G White...????

Bishana kama gt bna sasa maneno machafu yana maana gani lete hoja usilete maneno machafu grow up mkuu
 
huwezi kuufafanunua nafas ya Bwana Yesu kwa kuangalia Quran inasema nini juu ya Isa bin mariam,au juu ya Mungu.kwan dini hizi mbili ni dini mbili tofout zikiamini tofaut japo moja kwa makusud imekopi na kupest baadh ya mambo toka din ingine.Mungu ktk bibilia sio yule aitwae Allah ktk Quran wala mariam wa kwenye bibilia si yule wa kwenye quran.ila kwa sababu yule joka anataka kuwaangusha watakatifu ndipo akanzisha din hiyo kwa kuiga mazur toka kwa Mungu wa kwel Yehova na kuingiza ktk din mpya.na ni mpango wa din ya kibabeli(vatican)uitwao uekumene wa kuunganisha dini zote kwa kisingizio cha Mungu mmoja
 
Sio yeye tuu ni Holy bali hata Kanisa zima ni Holy Roman Catholic Church...

Sasa Hellena mwenye utindio wa Ubongo nani alimpa Unabii


Kipi kinamfanya Huyo wakala wa shetani kua holly na kanisa lake?
 
Kipi kinamfanya Huyo wakala wa shetani kua holly na kanisa lake?

Hellena nani amempa Unabii..???Hili swali inalikwepa sana...

Nipe tofauti ya Hellena na Mwingira, Geo Davie, Nabii Malisa...
 
Hellena nani amempa Unabii..???Hili swali inalikwepa sana...

Nipe tofauti ya Hellena na Mwingira, Geo Davie, Nabii Malisa...



Nani alimpa papa uholly Km wa MUNGU? MUNGU tunamuita Holly kwasababu nyingi tu na moja ni kwamba ni MUNGU aishie milele..na makazi yake ni matakatifu. Je Huyo papa anaishi milele Mpk umuite holly? Na Km papa ni holly Mbona makazi Yake yalikumbwa na kashfa ya ufisadi? Mbona maswali hutaki kuyajibu?
 
Ipo njiani..kwasasa imefika wapi..?? Hebu tupe kilometa ilulipofikia....

Kweli huyu mama wa Kimarekani kawaharibu ndugu zetu nyie..

Ila tutawanyoosha tuu

huyo mama wa kimarekani mimi simjui naona unamfahamu vizuri wewe ndio maana kila aelezae unamwona ni wa huko. nimekwambia si wasabato tu wanaoamini kuhusu NWO wapo wakristo wengine pia.
 
huyo mama wa kimarekani mimi simjui naona unamfahamu vizuri wewe ndio maana kila aelezae unamwona ni wa huko. nimekwambia si wasabato tu wanaoamini kuhusu NWO wapo wakristo wengine pia.

Wakristo gani hao..

Kanjanja...
 
Nani alimpa papa uholly Km wa MUNGU? MUNGU tunamuita Holly kwasababu nyingi tu na moja ni kwamba ni MUNGU aishie milele..na makazi yake ni matakatifu. Je Huyo papa anaishi milele Mpk umuite holly? Na Km papa ni holly Mbona makazi Yake yalikumbwa na kashfa ya ufisadi? Mbona maswali hutaki kuyajibu?

Google utaelewa kwann anaitwa Holy Father...Yeye kama Yeye si Holy kama unavyofikiri ila anayoyafsnya kulitakatifuza Kanisa ni Holy things kwa ajili ya Ufalme wa Mungu...

Halafu nimekuheshimu sana kukupa jibu la kistaarabu hivi...Panya wa Kisabato kama wewe hustail heshima yangu hivi..Wewe ni kuchukua rungu na kukutwanga tuu...
 
Ntuzu tofauti ya Hellena na Mwingira au nabii Malisa ni ipi..???

Ohohoh...hapo utasema Hellena ni jike na hao wengine ni wanaume...

Hebu nipe tofauti...
 
Last edited by a moderator:
Google utaelewa kwann anaitwa Holy Father...Yeye kama Yeye si Holy kama unavyofikiri ila anayoyafsnya kulitakatifuza Kanisa ni Holy things kwa ajili ya Ufalme wa Mungu...

Halafu nimekuheshimu sana kukupa jibu la kistaarabu hivi...Panya wa Kisabato kama wewe hustail heshima yangu hivi..Wewe ni kuchukua rungu na kukutwanga tuu...



Yani majibu Mpk niende kwa google? We mjinga nini? Anafanya kz gani Mpk awe holly au ndio hiyo ya kuwapiga marungu watu Km wewe unavyosema hapa? Eti kz takatifu Shwaini wewe!
 
Ntuzu tofauti ya Hellena na Mwingira au nabii Malisa ni ipi..???

Ohohoh...hapo utasema Hellena ni jike na hao wengine ni wanaume...

Hebu nipe tofauti...

Malisa na Mwingira ni mawakala wa Roma na Ellen G White ni wakala wa MUNGU ndio maana hamumpendi kwasababu amefunua ukengeufu wenu wote. Au unabisha?
 
Last edited by a moderator:
Yani majibu Mpk niende kwa google? We mjinga nini? Anafanya kz gani Mpk awe holly au ndio hiyo ya kuwapiga marungu watu Km wewe unavyosema hapa? Eti kz takatifu Shwaini wewe!

Sasa naona umeamua kuja kichwa kichwa kama kuku aliyekatwa kichwa....
 
Sasa naona umeamua kuja kichwa kichwa kama kuku aliyekatwa kichwa....



Yani ili twende sawa nimeamua kukujibu hovyo tu maana Siku zote hua nakujibu kistaarabu sn huo upuuzi wako! Lete Sasa huo upuuzi wako uone!
 
Mungu gani...??

Hivi Waislam na Wasabato mna Mungu...Yupi....???

Kwataarifa yako Mwingira anafadhali kuliko Hellena mwenye utindio wa Ubongo...

Hivi unajua Hellena alikuwa haamini Utatu Mtakatifu...sasa nyie na Muslim mnatofauti gani...????Wajua kuwa kuna nyaraka zimechomolewa za Hellena ila kufanya SDA ikubalike huko Marekani..

Ngoja nikae sawa...Kenge mwenye laana ya Hellena

Lazima umuone Mwingira Ana afadhali kwasababu anatunza Siku ya jumapili ambayo kwa asili Yake ni Roma..! Lkn kwa Hellen aliepinga huo ufedhuli na ukengeufu wenu mnamchukia.


Usikimbilie kuwaingiza Waislamu hapa we Shwaini! Tujadili usabato na upangani wa kiroma wewe upepo!
 
Mtume Muhammad (SAW) alipoulizwa na maswahaba wake juu ya Ishara kubwa za Kiyama; alizitaja 10 moja wapo ikiwa ni Ujio na Utawala wa Masihi Dajaad (Lucifer). Ambapo atajitanabaisha kama Mungu, na wote watakao mpinga watauliwa. Ingawa kuuliwa kwao itakuwa ndio kufaulu kwao kwa Kumkana shetani aliyejidhihirisha; na kumuamini Allah (Mola mmoja, Muumba). Watakao ishi ni wale tu watakao mtii yeye ambapo watakuwa wameangamia mbele ya Mungu.


Watu wanapaswa kumshika an Mungu ktk kipindi hiko (yaani zama hizi sasa). Malipo yao yatakuwa ni makubwa kuliko zama zozote zile. Pia ktk kipindi hicho waislamu watapingwa kila kona kwa vile Imani yao ni thabit na wanamwamini Mungu mmoja wa kweli.
Anaeleza pia Allah ktk Quran Surat Izaajaa...Kuwa hatimaye utawaona watu wakiingia ktk dini ya mwenyezi Mungu makundi makundi..(lakini itakuwa too late mithiri ya siku za mwisho za Farao).

So, suala hilo ni laukweli kabisa kwa Ref. ya Mafundisho ya Mtume Muhammad S.a.w na Quran. Ni muhimu kwa tuliojisahu kumrejea, kumtegemea, na kumuamudu Mola muumba.

Kudadadeki ......

Mkuu ni kwanini aliitwa "Masih Dajjal"?

Halafu kwa mujibu wa imani yako hilo jina "Lucifer" umelitoa wapi?
 
Back
Top Bottom