si leo wala kesho.am full christian believing a bible i say itatokea
Hahahahahaaa!
Kwaiyo nikiwa mbumbumbu naweza kutoka kapa? Mwee!
...
Specify sura basi nikajisomee kwa uhakika as if umesema kuna mafumbo!
Josêph M Mike;11316695 said:Wavivu wa kusoma utawajua tu!!! We umeambiwa kasome unaanza kujiteresha hapa. Kama una nia ya kutaka kujua c ukasome tu. Na Bible huwa ina nguvu c ajabu, Bila haya kuangaika sana unakutana na point za Topic husika zenye kukupa majibu yako. Bible ni kitabu KIKUBWA! Fikiria tu. Walioyaandika walikuwa na maono makubwa mno.
Roho wa shetani amekukalia ndugu! Hayo marungu yanini hapa, Yesu mwenyewe aliwapenda adui zake ili awavute na kuwaokoa, we huna tofauti na wale wa msma mdogo.Google utaelewa kwann anaitwa Holy Father...Yeye kama Yeye si Holy kama unavyofikiri ila anayoyafsnya kulitakatifuza Kanisa ni Holy things kwa ajili ya Ufalme wa Mungu...
Halafu nimekuheshimu sana kukupa jibu la kistaarabu hivi...Panya wa Kisabato kama wewe hustail heshima yangu hivi..Wewe ni kuchukua rungu na kukutwanga tuu...