What if New World Order becomes true?

am full christian believing a bible i say itatokea
si leo wala kesho.
Pia zingatia 'limitations' katika mataifa fulani na 'criticism' zilizopo.
Bila kusahau muelekeo wa dunia ya sasa ha u 'aplly' hii kitu.
Kwa mazingira ya miaka kama 30 iliyopita dhana hii ilikuwa na mashiko.
"things do change"
 
Hahahahahaaa!
Kwaiyo nikiwa mbumbumbu naweza kutoka kapa? Mwee!
...
Specify sura basi nikajisomee kwa uhakika as if umesema kuna mafumbo!

Wavivu wa kusoma utawajua tu!!! We umeambiwa kasome unaanza kujiteresha hapa. Kama una nia ya kutaka kujua c ukasome tu. Na Bible huwa ina nguvu c ajabu, Bila haya kuangaika sana unakutana na point za Topic husika zenye kukupa majibu yako. Bible ni kitabu KIKUBWA! Fikiria tu. Walioyaandika walikuwa na maono makubwa mno.
 

Maelezo yako hayo ni sawa na zero.
Ungeweka tu vifungu vinavyosapoti madai yenu ingekua poa sana instead of kuleta blaa blaa kwa maelezo yenye content ya ubishi wa kijinga. kama huna vifungu potea sina mda na longolongo zako.

Plz understand!
 
Roho wa shetani amekukalia ndugu! Hayo marungu yanini hapa, Yesu mwenyewe aliwapenda adui zake ili awavute na kuwaokoa, we huna tofauti na wale wa msma mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…