What is he?

What is he?

Shukrani ndugu mzalendo215.
Majina tunajipea tu wakati mwingine hatujui hata maana yake ni kupenda sound zake tu.

Ngulyati,
Sina mbavu hapa nilipo! Umenkumbusha jamaa katika ununuzi wa nguo za mitumba akanunua T~shirt imeandikwa "MORTUARY ATTENDANT" na akatinga nayo kwenye sherehe anadunda mwanamme! Watu wakawa wanamshangaa na kumkodolea macho…!Kwa akili yake akawa anafikri watu wana admire alivopendeza……😁😁!
 
Like you?
IMG_20191128_163544.jpeg
 
Mnhh Public speaking ni tatizo la wengi,hata humu mnajidai sababu mko anonymous..mnatype mkiwa kwenye comfort zones zenu...subiri mpewe live audience na Microphone tuone ujasiri wenu..hahaaaaaaaaaaaaaaaaa ...mimi niko kama yeye Professor Kabudi..ndio maana namuelewa viatu alivyovivaa lol
 
YOU GUYS WANTED KABUDI TO SHOW HOW SPEECH IS? YOU WANT KENYA TO REALIZE AND RUN FROM TRIBALISM? AVOID SHOWING OFF, SOMETIMES PEOPLE NEED TO BE TAUGHT

You have to teach people who dont understand what they are doing and how they live, These guys must run away from Tribalism.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nampongeza kwa ujumbe wake alio ubeba kuuwakilisha kwa majirani zetu kenya, ni ujumbe bora unaojenga ukiutafkari kwa makini, jinsi alivouwakilisha, jinsi tumjuavyo yeye hakubadilishi maana ya ujumbe husika.
 
Back
Top Bottom