Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enjoy each and every moment, sababu hayanaga muongozo...Sawa nimesogea
Wewe uko kwenye mapenzi au?!Enjoy each and every moment, sababu hayanaga muongozo...
Yap?!Hayohayo..
Kwahiyo mapenzi NI competition?!mapenzi ni kipimo cha ushupavu...ushindi kwa anaye yafaulu.
Asante MchungajiUkitaka kujua kuhusu upendo zaidi soma
1korintho 13:1-13, 2 “Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.
3 Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.
13 Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo.
Huo ndo upendo [emoji1426] wa kweli nje ya hapo ni upendo wa mauti (ambao duniani ndo umetawala na kwaumiza wengi):-
wimbo uliobora 8:6 “Nitie kama muhuri moyoni mwako, Kama muhuri juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.
Mambo yangu niachie mwenyewe...Wewe uko kwenye mapenzi au?!
Unaona ni upuuzi mtupu kwa maana upo 40 sasa. Ulipokuwa at your stunning age huko 23, ungeweza kusema pesa si sehemu ya mapenzi?Wapiii, upuuzi mtupu
Asante Mchungaji
Ila hapa tunaongelea upendo WA Kuingia kwenye ndoa
Hapo unatusaidiaje?
KhaNdo huo huo ukishaugawanya hicho ni kitu kingine ndo maana wengi wanakuwa kwenye mahusiano kwa expectations nyingi while upendo zero.
Waoooo ya nini??Waooooo
Basi me nijibu swali la what is loveMambo yangu niachie mwenyewe...
Am 67 years old sireUnaona ni upuuzi mtupu kwa maana upo 40 sasa. Ulipokuwa at your stunning age huko 23, ungeweza kusema pesa si sehemu ya mapenzi?
Soma heading ya thread yako. Alafu whatsoever, nyie kadri umri unavyosonga ndio mnaanza kujifanyaga very innocent and looking for public sympathy.Am 67 years old sire
Hizo age zenu mnatesekaga wenyewe
Me nalea wajukuu now
Waooooo ya waoooooWaoooo ya nini??
Love ni pale mimi na wewe tunapoamua kukutanisha viungo vya uzazi huku roho zikifurahi burudani...Basi me nijibu swali la what is love
Hio NI porn au uasherati kabla ya ndoaLove ni pale mimi na wewe tunapoamua kukutanisha viungo vya uzazi huku roho zikifurahi burudani...
Wewe ndio unatafuta sympathySoma heading ya thread yako. Alafu whatsoever, nyie kadri umri unavyosonga ndio mnaanza kujifanyaga very innocent and looking for public sympathy.