Niwemugizi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 902
- 462
Hivi kwa nini hawa wauzaji wa dawa za virutubisho kama GNLD, Forever Living product na sasa hivi kuna hawa wapya wanajiita Sungreen wanapotoa matangazo yao hawawi wawazi mfano utasikia wanakukaribisha sijui kwenye mkutano wa kimataifa utafanyikia Ubungo Plaza ama sijui Millenium Tower lakini wanaishia kusema kwamba ni mkutano wa kuvumbua vipaji na kutengeneza nafasi za kupata pesa ukiwa holday ama ukiwa umekaa kwenye kochi nyumbani.
Swali langu la leo ni hili, hivi hawa jamaa ni wababaishaji kiasi kwamba inabidi wawaite watu kwa lobbying maana wanaamini kuwa wakisema kwamba ni issue za product zao hawataenda, ama hawa jamaa ni kikundi cha watu wanatoa sumu kwa waTanzania wenzetu.Yaani in short nashindwa kuelewa kwa nini wanashindwa kuandika with confidence kwamba ndugu mteja tunakukaribisha kwenye kikao cha product za GNLD, Forever Living product au Sungreen kitakachofanyika Millenium Tower siku ya tarehe 17/08/2013? Kwa nini wanashindwa kuwa wawazi ina maana wanachokifanya siyo halali ama ni ujinga wao tu.Na wote hakuna mwenye akili hata mmoja yaani ukijiunga huko utafikiri waasi wa M23 hakuna anaetaka kuwa muwazi kwenye matangazo yao SHIDA NI NINI HASA
Swali langu la leo ni hili, hivi hawa jamaa ni wababaishaji kiasi kwamba inabidi wawaite watu kwa lobbying maana wanaamini kuwa wakisema kwamba ni issue za product zao hawataenda, ama hawa jamaa ni kikundi cha watu wanatoa sumu kwa waTanzania wenzetu.Yaani in short nashindwa kuelewa kwa nini wanashindwa kuandika with confidence kwamba ndugu mteja tunakukaribisha kwenye kikao cha product za GNLD, Forever Living product au Sungreen kitakachofanyika Millenium Tower siku ya tarehe 17/08/2013? Kwa nini wanashindwa kuwa wawazi ina maana wanachokifanya siyo halali ama ni ujinga wao tu.Na wote hakuna mwenye akili hata mmoja yaani ukijiunga huko utafikiri waasi wa M23 hakuna anaetaka kuwa muwazi kwenye matangazo yao SHIDA NI NINI HASA