rugilandavyi
Member
- Apr 2, 2014
- 12
- 11
Look around you and observe the life forms, evolution is all over the place. So far I can say the best evidence for evolution is genetic evidence for both higher and lower life forms but also fossil evidence is among what shows evolution in action for higher life forms.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kuna siku nilikua namsikiliza kiongoz mmoja wa Dini(ya Kiislam), alipoulizwa kuhusu mambo yenye nadharia hizo na dini. Akasema pamoja na ukweli kwamba ili ufaulu mtihani itabdi ukubali tu kuwa binadam wa kale alikua ni sokwe, lakini kiuhalisia siyo kweli. Alisema Mungu yu Mwema kwa kuwa Sokwe hadi leo wapo na binadam tupo, hatujaona hizo dalili kuwa kuna sokwe ameonyesha kuwa na pure miguu minne kuashiria anaanza kuwa binadam. Kiukweli mambo hayo yanachanganya sana!
Look around you and observe the life forms, evolution is all over the place. So far I can say the best evidence for evolution is genetic evidence for both higher and lower life forms but also fossil evidence is among what shows evolution in action for higher life forms.
You don't mean 200 million years ago we were this big and then evolved into our current sizes, do you?
i support the theory of evolution, but your pictures are new to me, i have not see any explanation of those giant feet
The first (vertical foot on granite) was discovered in south africa not many years ago, its age is estimated at 200 million years, the other i got from google images on "ancient giants"- no accompanying details. Such feet and skeletons/parts have been reported from many areas through excavations. there is a documentary in which the american west is especially reported to abound with such findings
This was the Greek discovery
will find more details and give my views.
But if its true it just goes further to prove that evolution is not a myth
Siku Nyingine Mwambie Aache Kukomaa Na Ile Elimu Ya Upande Mmoja Pekee Naamanisha Ya Arif-ata,apitiepitie Walau Kidogo Na Elimu Dunia.Kisayansi Evolution Ya Kutoka Stage Moja Kwenda Nyingine Inachukua Millions Of Yrs Ndio Maana Ni Ngumu Kumuona Sokwe Live Kwa Sasa Aki-undergo Evolution.