What is this ? Mo Jay??!

Kajitongozesha insta unategemea nini? Wakina Mo J wazee wa kutoa mimba au sio? Wanawake wanawafuata wenyewe wanapigwa upako wa mimba? Baby mama ndio nini?
Punguza makasiriko jombaa
Agiza popcorn angalia show.

Giggy money kazaa na sampuli inayofanana naye.

Lakini Mo Jay atakuwa anahudumia laana fulani tusiyoijua
 
Hovyo kabisa. Hivi huyu mo j ndiyo aliimba ule wimbo mzuri na Billinass? Tena nika subscribe? Najiondoa Leo. Wanaume hatuko hivyo bro.
Sio huyo ni J Melody, huyu mtongozwa insta ni mwingine wanawake wanajilengesha wenyewe wanataka mimba za insta Giggy
 
Punguza makasiriko jombaa
Agiza popcorn angalia show.

Giggy money kazaa na sampuli inayofanana naye.

Lakini Mo Jay atakuwa anahudumia laana fulani tusiyoijua
Mkuu sipo na makasiriko Ila wanawake visabengo qmamake hata huyo alienae sasa tunamsomea muda tu watatifuana hawa viumbe akili zao zipo kwenye siku zao tu
 
Kwa ile situation ana haki ya kulia.
 
Mkuu sipo na makasiriko Ila wanawake visabengo qmamake hata huyo alienae sasa tunamsomea muda tu watatifuana hawa viumbe akili zao zipo kwenye siku zao tu
Hahahah
Pisi kali zinapenda kuzaa na sura nzuri. Lakini malipo yake ni heavy.

Mwache ahudumie malipo ya kuzaa na handsome boy.

Depal umemuona Mo Jay katika ubora wake? Kijana fundi wa kujiapiza na kusuta kwa vidole hewani๐Ÿ™ƒ๐Ÿ™ƒ
 
So Giggy ndio katengeneza ujinga wote, alafu mwanaume anaemponda mwanaume sioni km ni mwanaume
Namponda sababu ya upuuzi na kishapoteza sifa za uanaume, mwanaume gani unaongozwa na mwanamke kisa ugomvi wao,hivi ww unaweza shindana na mwanamke kuongea we? Au nyie ndio wale mnaosutana na wanawake mikono kiunoni mixer vidole juu, maanake ukishindana kuongea na mwanamke kuna siku utasutana nae na hapo ndipo wanaume wenzako watakuona una walakini.

Hivi ww mzima au una mtoto?
Una idea na maswala ya saikolojia ya ukuaji wa ubongo wa mtoto?

Ktk maisha yako yote hasithubutu kufanya kitendo cha kikatili kwa mtoto mdogo au mbele ya mtoto wako,kwani utakilipia tena kwa gharama kubwa.

Watu wamezalisha wanawake zaidi ya wawili na huwezi kuwakuta wakifanya huo upuuzi kama huyo unayemuona wa maana ww,unatetea ujinga sasa huyo ana sifa za wanaume mimi hapo simwoni mwanaume, dogo mwanaume sifa yake sio kuzalisha, mwanaume ni MAAMUZI, MSIMAMO, MALEZI na KUUBEBA MSALABA WAKO NA FAMILIA. Kama hunasifa hizo wewe ni MVULANA na sio MWANAUME.
 
dogo mwanaume sifa yake sio kuzalisha, mwanaume ni MAAMUZI, MSIMAMO, MALEZI na KUUBEBA MSALABA WAKO NA FAMILIA. Kama hunasifa hizo wewe ni MVULANA na sio MWANAUME.
Yaan hata sifa za mwanaume huzijui Ila basi ngoja niache miyeyusho mkuu baki na unachokielewa
 
Hahahah
Pisi kali zinapenda kuzaa na sura nzuri. Lakini malipo yake ni heavy.

Mwache ahudumie malipo ya kuzaa na handsome boy.

Depal umemuona Mo Jay katika ubora wake? Kijana fundi wa kujiapiza na kusuta kwa vidole hewani๐Ÿ™ƒ๐Ÿ™ƒ
Drama parents hao ๐Ÿ˜‚

Kwahiyo Mo J kamfata Gigy kwake ni anataka kumpora mtoto? Huyo Mo ni mwehu. Kuna ICU ya week flan ktk mwezi uliopita nadhani inasemekana Mo kampiga mtoto mdogo wa mwaka na points hivi kama sijasahau. Gigy kma kawaida akaingia kwenye familia yake Insta Live akanza kuongea kuhusu ile issue kisa ye kazaa nae.

Huyo chalii ana mashtaka police,, bado hakomi anaenda kusaka mapya ๐Ÿ™Œ
 
Mo Jay pisi kali kws Gigy au sio?

Mo Jay anazidi kujirundikia mashtaka maana kumvamia Gigi Mane kwake ni kosa na ushahidi wa video unaonesha aliambatana na mke mwenzake kwenda kumsuta Giggy.

Pisi kali za kiume wanatrend sana kwenye korido za malavidavi
 
Yah.. iko wazi ๐Ÿ˜‚

Ah sheria itafata mkondo wake.. mambo yao waachieni wenyewe.

๐Ÿ˜‚
 
Yah.. iko wazi ๐Ÿ˜‚

Ah sheria itafata mkondo wake.. mambo yao waachieni wenyewe.

๐Ÿ˜‚
Kosa lingine baya zaidi, huyo anayeishi na Gigy Jay amekuja na mtoto na kuhatarisha maisha ya malaika yule maskini.

Isijekuwa yeye ndo kamwambia Mo twen'zetu tukamsute Gigy.

Dunia mbarambere hii kha!
 
Kosa lingine baya zaidi, huyo anayeishi na Gigy Jay amekuja na mtoto na kuhatarisha maisha ya malaika yule maskini.

Isijekuwa yeye ndo kamwambia Mo twen'zetu tukamsute Gigy.

Dunia mbarambere hii kha!
Akili mtu wangu akili ๐Ÿ˜‚

Huyo pisi kali wa kiume si amzalishe dapo dapo huyo mke mpya kma ana shida na mtoto
 

Inaonekana gift kamua kumove Ina Soo dogo amini maana washazoea Hawa vijana madem zaoo wadange arafu waje kuhongwa Sasa gigy inaonekana kasepa mazima anagongwa aendi kugonga mo kapanic hamini
 
Maisha bwana ni hatari yaani washauri wa ndoa na mapenzi wote wanapigwa na MLUNGA MBUGA.

-Mo Jay mshauri wa Mapenzi Redioni Luvdavi ila yeye mapenzi yanamchapa Knock-out
-Dr Mwaka mshauri wa ndoa na nguvu za kiume ila yeye amekimbiwa na mkewe,fedha anazo sasa sijui nguvu hana?
 
Huwajui wanawake mwanaume utakaza yakijaa lazima uongee yaan atakuchokonoa kila angle utaongea tu, wewe unasema hivyo sababu huwajui wanawake unawasikia na kuwaona tu
Duniani ya Sasa hata mtu kama wewe lazima utawajua tu wanawake, sembuse Mimi.
Maisha yangu yote Mimi simpi airtime mwanamke hata siku moja.
Akianza maneno tu nasepa sembuse mwanamke nisiyeishi nae???
You don't know me bruh, Sina time ya kubishana na madem.
 
Yaan hata sifa za mwanaume huzijui Ila basi ngoja niache miyeyusho mkuu baki na unachokielewa
Na sina muda wa kumwelesha mjinga.Wahenga walisema akili ni nywele ila hawa kuidentify za eneo gani.
 
Duuh .hyo siku anamwaga ndao kwa huyo G money Bora angeshika Sheria mkononi...ona anajidhalilisha mbele ya jamii
 
Nchi hii sahvi imetawaliwa na maujinga mengi sana

Ova
 
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ mwanaume akishakusababishia usinglemom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ