What is ur dream for the future?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
wapo wanaotarajia watoto wengi
wapo wanategema wake wengi
wapo wanatarajia kuitwa mafisadi ingawa dalili za maisha aziwapi muelekeo
wapo wanaotarajia kumrithi Invis akistaafu na mengine mengi

Binafsi natarajia kuona TAIFA STARS YA LEO IKIWA BRAZIL KOMBE LIJALO LA DUNIA SIJUI WEWE
 

hapo kwenye red ndio nani huyo?
 
Bos wangu!!!
 
mimi NATAMANI 31/10 watanzania wafanye maamuzi ya kweli
 
mimi NATAMANI 31/10 watanzania wafanye maamuzi ya kweli

watuuu weweeeeeeeeeeeeeee weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

CC EMUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU CCEMUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

NDUGU UTAWAJAZA WATU HUMU BASI LISIJAE UNAGUSA MBONI ZA WATU
 

Mimi nataka nije niwe TT ktk train ya abiria kwenye reli mpya kabisa ya kutoka Mtwara mpaka Songea itakayo jengwa ndani ya miaka mitano ijayo.:hat:
 
Mimi nataka nije niwe TT ktk train ya abiria kwenye reli mpya kabisa ya kutoka Mtwara mpaka Songea itakayo jengwa ndani ya miaka mitano ijayo.:hat:
Nani aliyeahidi hii kitu!
 
Loh ujumbe muruaaaaaaa kweli huu nami natarajia kuoa tuwasiliane basi:A S-rose::hug::cheer2::lalala::A S-heart-2::A S-heart-2::whoo:

mwenyewe kashatoa mahari kashanivisha pete ya uchumba harusi february
 
Mi nataraji kuwa md wa kwanza wa mradi wa maji toka mto ruvu kwenda same. Hapo tar 01/11/10.
 
mwenyewe kashatoa mahari kashanivisha pete ya uchumba harusi february



Hongera mwenzetu,na mi naomba mkimaliza shughuli yote hiyo february tuanze mchakato wa kunifanya niwe mume mdogo si inaruhusiwa siku hizi?Usihofu maana mahari na mambo ya pete nimeshajiandaa.:A S 8::A S 8::cheer2::A S-heart-2::A S-heart-2::lalala::lalala:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…