wapo wanaotarajia watoto wengi
wapo wanategema wake wengi
wapo wanatarajia kuitwa mafisadi ingawa dalili za maisha aziwapi muelekeo
wapo wanaotarajia kumrithi Invis akistaafu na mengine mengi
Binafsi natarajia kuona TAIFA STARS YA LEO IKIWA BRAZIL KOMBE LIJALO LA DUNIA SIJUI WEWE
mimi NATAMANI 31/10 watanzania wafanye maamuzi ya kweli
Maamuzi gani hayo ya kweli.mimi NATAMANI 31/10 watanzania wafanye maamuzi ya kweli
Maamuzi gani hayo ya kweli.
wapo wanaotarajia watoto wengi
wapo wanategema wake wengi
wapo wanatarajia kuitwa mafisadi ingawa dalili za maisha aziwapi muelekeo
wapo wanaotarajia kumrithi Invis akistaafu na mengine mengi
Binafsi natarajia kuona TAIFA STARS YA LEO IKIWA BRAZIL KOMBE LIJALO LA DUNIA SIJUI WEWE
Nani aliyeahidi hii kitu!Mimi nataka nije niwe TT ktk train ya abiria kwenye reli mpya kabisa ya kutoka Mtwara mpaka Songea itakayo jengwa ndani ya miaka mitano ijayo.:hat:
Nani aliyeahidi hii kitu!
mimi natarajia kuolewa
natarajia kumvisha pete kimwana wa JF.................!
Loh ujumbe muruaaaaaaa kweli huu nami natarajia kuoa tuwasiliane basi:A S-rose::hug::cheer2::lalala::A S-heart-2::A S-heart-2::whoo:
mwenyewe kashatoa mahari kashanivisha pete ya uchumba harusi february
Nani aliyeahidi hii kitu!