Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
wapo wanaotarajia watoto wengi
wapo wanategema wake wengi
wapo wanatarajia kuitwa mafisadi ingawa dalili za maisha aziwapi muelekeo
wapo wanaotarajia kumrithi Invis akistaafu na mengine mengi
Binafsi natarajia kuona TAIFA STARS YA LEO IKIWA BRAZIL KOMBE LIJALO LA DUNIA SIJUI WEWE
wapo wanategema wake wengi
wapo wanatarajia kuitwa mafisadi ingawa dalili za maisha aziwapi muelekeo
wapo wanaotarajia kumrithi Invis akistaafu na mengine mengi
Binafsi natarajia kuona TAIFA STARS YA LEO IKIWA BRAZIL KOMBE LIJALO LA DUNIA SIJUI WEWE