What is with the Keter saga?

logania

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
464
Reaction score
313

Now an asian man claims his identiy was stolen...Says his id was stolen by another asian man to commit the crime...This drama is a findeo(like Kenyans say it)

 
Ni kama ndrama ni kama findiyo! 😀 Huyo Alfred Keter ni mbunge ameshikwa na bonds feki za milioni kathaa, nadhani ndo walikuwa wanataka kuzi'cash in' pale CBK! Huyu jamaa tangia muhula wake wa kwanza amekuwa kwenye madrama kibao. Kuna ile kashfa ya pale Mlolongo Weigh Bridge. Ambapo walikamatwa pamoja na madam flani mhindi, mbunge maalum, wakijaribu kuwalazimisha polisi waaachilie trela ambayo ilikuwa imekamatwa kwa kuwa na uzito ulozidi viwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…