4X4byfar
JF-Expert Member
- Oct 29, 2008
- 201
- 21
Za leo wapendwa,
Jamani naombeni kuuliza, hivi ni kwa nini my hubby akienda kwenye vikao na wenzake ni mpaka nipige simu mara ishirini ndo unamuona anarudi home. Nisipofanya hivyo anaweza kuja saa nane au hata asubuhi. Nikimuuliza nini hasa ni tatizo, hana la kujibu zaidi ya kusema samahani. Then next time the same thing tena anarudia! Je hii nini naombeni munisaaidie maana nakereka sana na hii tabia yake. Nimeanza kupata na wasiwasi if our marriage will work out yani!
Jamani naombeni kuuliza, hivi ni kwa nini my hubby akienda kwenye vikao na wenzake ni mpaka nipige simu mara ishirini ndo unamuona anarudi home. Nisipofanya hivyo anaweza kuja saa nane au hata asubuhi. Nikimuuliza nini hasa ni tatizo, hana la kujibu zaidi ya kusema samahani. Then next time the same thing tena anarudia! Je hii nini naombeni munisaaidie maana nakereka sana na hii tabia yake. Nimeanza kupata na wasiwasi if our marriage will work out yani!