What is wrong here

What is wrong here

Dadangu kwa kweli una mtihani, ila kama walivyokueleza wenzangu hakuna dawa mbadala. Jaribu zote huenda moja itafanyakazi kwa hubby wako. Si unajua tena uendawazimu wao unatofautiana.

Ndugu yangu ngoja nikupe neno, hakuna mtu mwoga wa kuachwa kama mwanaume, ndiyo maana kila wakati anajitahidi awe na pa kuegemea akijifanya mjanja kumbe hana lolote. Mwambie aende jumla huko anakoona kunamfaa siyo anaugawa usiku, nusu huko nusu karudi. Dunia yenyewe hii ukimwi kibaooo. asije akakuletea la kukuletea bure.

Hebu mvalishe chupi nyeupe wakimchezea utajua halafu mshughulikie sawasawa.

Heeeeeeeeeeeeh! umenifurahisha ndugu, ehe chupi nyeupe akivaa utakuta nini! Makubwa sijawahi kusikia haya. Ama kweli JF Kiboko ya wao!
 
Probably anakatiza mitaa kuminimise all the nagging you drop on him the minute he walks in.
Kwani we una matatizo gani mpaka aku-avoid?
Unajua kupika au mambo ya housegirl? Una mambo ya muhimu kuongea nae au stori zako zipo zipo tu (nikimaanisha unachemsha ubongo wake positively au story zako za kiuswahili swahili tu)? Mlioana kwa mapenzi au basi tu? Uling'ang'aniza hiyo ndoa kwa kumtega? Mmeoana kwa muda gani?
Sijaoa, ila kutokana na majibu utakayotoa twaweza kufikiria kama yeye (God forbid) as a man.

Hapa kuna ukweli fulani, tusiangalie upande mmoja.




Nilijarubi hiyo style ila haikufanya kazi. Maana nilishawahi kumwambia kwamba naenda town kutembea so akimalizana na vikao vyake aniambie kwa kweli ndo ikawa nampa mda wa kukaa zaidi.

aaah jarifu kufanya kama walivyoshauri, umwambie nipo tu hapa hapa
 
...dddduuuuhhh! kwanza karibu, pili nakusifu. Wanawake kama wewe karne hizi ni mmoja katika alfu moja na moja 😀!


nasukuru sana Mbu, nimeshakaribia! hiyo situation inaumiza sana, ukifikiri unampenda/unamthamini/kumjali na mazagazaga yote but yeye hajali yote hayo yupo kwa ajili ya kukuumiza, hatupo perfect kama kuna kitu nilimkosea nieleze nijirekebishe sio suala la yeye kuamua ufanya hayo, lakini alikoma/alijifunza na akaona mambo sio shwari kabisa akajirudi.
 
Dadangu kwa kweli una mtihani, ila kama walivyokueleza wenzangu hakuna dawa mbadala. Jaribu zote huenda moja itafanyakazi kwa hubby wako. Si unajua tena uendawazimu wao unatofautiana.

Ndugu yangu ngoja nikupe neno, hakuna mtu mwoga wa kuachwa kama mwanaume, ndiyo maana kila wakati anajitahidi awe na pa kuegemea akijifanya mjanja kumbe hana lolote. Mwambie aende jumla huko anakoona kunamfaa siyo anaugawa usiku, nusu huko nusu karudi. Dunia yenyewe hii ukimwi kibaooo. asije akakuletea la kukuletea bure.

Hebu mvalishe chupi nyeupe wakimchezea utajua halafu mshughulikie sawasawa.


duh.ntaanza kubadilisha chupi nivae za rangi
 
Back
Top Bottom