What is wrong here


Heeeeeeeeeeeeh! umenifurahisha ndugu, ehe chupi nyeupe akivaa utakuta nini! Makubwa sijawahi kusikia haya. Ama kweli JF Kiboko ya wao!
 

Hapa kuna ukweli fulani, tusiangalie upande mmoja.




Nilijarubi hiyo style ila haikufanya kazi. Maana nilishawahi kumwambia kwamba naenda town kutembea so akimalizana na vikao vyake aniambie kwa kweli ndo ikawa nampa mda wa kukaa zaidi.

aaah jarifu kufanya kama walivyoshauri, umwambie nipo tu hapa hapa
 
...dddduuuuhhh! kwanza karibu, pili nakusifu. Wanawake kama wewe karne hizi ni mmoja katika alfu moja na moja 😀!


nasukuru sana Mbu, nimeshakaribia! hiyo situation inaumiza sana, ukifikiri unampenda/unamthamini/kumjali na mazagazaga yote but yeye hajali yote hayo yupo kwa ajili ya kukuumiza, hatupo perfect kama kuna kitu nilimkosea nieleze nijirekebishe sio suala la yeye kuamua ufanya hayo, lakini alikoma/alijifunza na akaona mambo sio shwari kabisa akajirudi.
 


duh.ntaanza kubadilisha chupi nivae za rangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…