tatizo ni self discipline.......
hatuna kabisa.............
Duuuu!
Kwa Ushauri wangu mimi naona Asia waongezewe nafasi kutoka 4 mpaka wapewe 6 Waafrika kazi yao kula Ugali na Fufu na kucheza ngoma za kiasili,na mambo ya wanawake tu.Hakuna Mpira Afrika kazi yao ni kutegemea Mpira wa Uchawi hawajuwi kucheza Mpira Waafrika kila siku waafrika watakuwa Wasindikizaji wa World Cup.
Mi nadhani kama ni kupewa nafasi katika kombe la dunia, africa inastahili kupunguziwa nafasi zake. Kwa matokeo ya awamu ya makundi, Africa imefaniwa kuvusha tim 1 tu kati ya timu sita (17%), Ulaya wamevusha timu 6 kati ya 14 walizokuwa nazo (43%), Asia wamevusha 2 kati ya zao 4 (50%) wakati america and carebean wamevusha 7 kati ya nane (>87%). Hii inashawishi kuwa africa na Ulaya wanatakiwa wapunguziwe nafasi za ushiriki waongezewe America&Carebean na Asia..
mimi nadhani afrika wabaki na nchi nne na ulaya wabaki na nchi nane.... maana tunapeleka wasindikizaji tu
na kama ningekua mimi, basi ningefanya wachezaji wote waafrika kwa kutuaibisha wafanye kazi ya uhudumu hoteli za waliofuzu hadi weldi kapu iishe
ningefurahi kumuona kenge etoo aliyenuinua saa za zaidi ya bilioni moja akimsevu skertel juisi, na drogba akimmiminia maziwa fresh diego forlan na kale kajamaa kenye pumu kanaitwa shabalala kakimkaangia mayai timotheo apiah
maan saizi mingine ishaenda holiday, gademu