Hizi si kama zile zako unapost picha zako umekamatia kalio la demu wako mumelowa mvuaNyuzi nyingine bhana!
Ni nyuzi kama zingine tu, ila inategemea zimekukuta katika Hali gani. Maana huenda unawaza Kodi ya nyumba saa hiziNyuzi nyingine bhana!
Bora hii kuliko zile za kwakoNyuzi nyingine bhana!
Unaongeza 1 nyuma ya sifuriAtafute red pen afanye marekebisho hapo fasta fastaππ
Yeah,, kazi rahisi tu mbonaππUnaongeza 1 nyuma ya sifuri
NakaziaUnaongeza 1 nyuma ya sifuri
Kazi ipo kama mshua masta ni msomiYeah,, kazi rahisi tu mbonaππ
naona hiyo karatasi inaonyesha marks tu sio na maswali na majibu πππKazi ipo kama mshua masta ni msomi
Lazima ina maswali pia πnaona hiyo karatasi inaonyesha marks tu sio na maswali na majibu πππ
Kama ina maswali na majibu imekula kwakeππ... au basi aseme hawajapewa matokeoππLazima ina maswali pia π
Hizo misheni za kuteketeza ushahidi nimezifanya sanaKama ina maswali na majibu imekula kwakeππ... au basi aseme hawajapewa matokeoππ
Huyo ni Mimi kabisa, nikiona mambo hayaeleweki naficha tu nasema matokeo Hadi tukifungua shuleπ πHizo misheni za kuteketeza ushahidi nimezifanya sana