Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi napenda sana!
1.Ndizi nyama
2.Ugali na nyama choma.
Ugali wa muhogo kwa ambaye hajawahi ni kazi sana,nilikuwa sijawahi but baadaye nikazoea kumbe wa ukweli sanaUgali wa muhogo na Samaki(SATO) wa kupika.
Ugali wa muhogo na nyama iliyobanikwa na kupikwa.
Ugali wa muhogo na mboga mboga.
Ugali wa muhogo na mlenda, nyama kavu.
Ugali wa muhogo na dagaa wakukaanga afu wakapikwa.
Wali nyama
Wali maharagwe.
Ugali, mchunga wa nazi, na kipande cha papa kilichochomwa.
Kama pua zako ni sensitive umeula - LOL.
Tanga line mpooo?
Mchunga ni nini?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mchunga ni nini?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kama upo Toronto bibie Farkhina, mchunga ni dandoline. Yale majani yanajiootea wakati wa Spring kwenye lawns na yana maua ya manjano. Kwa Tanzania (na pwani yote) haya ni majani yanajiotea yenyewe lakini ukiyachuma (kama dandoline) yanatoa utomvu mweupe. Ni majani machungu sana lakini yakipikwa vizuri (hasa na nazi) utayapenda.
Wagosi/wandee wa kaya saidieni hapa tuwajuze watu hii delicacy. Mkuu Jerrymsigwa mtu akipikiwa vizuri hii kitu na kuila basi amekwishaoa - LOL.
Tupikie basi siku moja tuje kula lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Litakua jina la kinyumbani hilo
samaki tilapia ugali and greens za aina yoyote
Mimi mzima sister angu farkhina, anko hajambo?
Seafoods I prefer the most
oooppss sikujua kama majani ya maua….Mchunga ni nini?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums