What is your favorite food?

What is your favorite food?

Ugali wa muhogo kwa Dagaa flani wanaitwa Kauzu walioungwa kipome cha Karanga pembeni Maharage na MbogaMboga chukuchuku!
 
Samaki wa mchuzi au kukaanga na ughali wa dona au mtama/uwele!!! Na ,mboga za majani au kachumbari kidogo,ukiwa umetengeneza rost ya mbogamboga kama colyfower, hoho, biringanya, bamia, nyanya chungu!!! Du huwa sikinai kabisa. Pia kuku wa kubanika na ughali niliyotaja! Wali antenna haikamati. Ndizi ni second best, mpenzi wife ndiyo staple food yao hivyo anaipika na nyama ya kutosha na utumbo juu!! Halafu kuna majimbi ya kwao anachanganya!!! I married a wife, companion, mother, chef, etc. Hadi kifo kitutenganishe!!!! Tulishasheherekea 25!!!! Tunasubiria mingine!! Hope we will cherish and celebrate 50th anniversary together!!!
 
Kiusema na ukweli Kama kuna siku najisikia vzr basi mlo iwe hivi..
Asubuhi chai ya rangi yenye mchai chai na vitumbua au chapati!! Mchana lunch iwe ugali sembe safi, dagaa a kigoma na mlenda wa bamia!! Usiku wali nazi maharage na mchicha huku kachumbali yenye pilipili mbuzi! Mimi hata Kama iwe Xmas nipate huo msosi najisikia vizuri sana
 
Samaki wa mchuzi au kukaanga na ughali wa dona au mtama/uwele!!! Na ,mboga za majani au kachumbari kidogo,ukiwa umetengeneza rost ya mbogamboga kama colyfower, hoho, biringanya, bamia, nyanya chungu!!! Du huwa sikinai kabisa. Pia kuku wa kubanika na ughali niliyotaja! Wali antenna haikamati. Ndizi ni second best, mpenzi wife ndiyo staple food yao hivyo anaipika na nyama ya kutosha na utumbo juu!! Halafu kuna majimbi ya kwao anachanganya!!! I married a wife, companion, mother, chef, etc. Hadi kifo kitutenganishe!!!! Tulishasheherekea 25!!!! Tunasubiria mingine!! Hope we will cherish and celebrate 50th anniversary together!!!

Wow....nimependa huko mwisho lovely kwa uwezo wa mungu mtafika 50th anniversary inshaallah

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kiusema na ukweli Kama kuna siku najisikia vzr basi mlo iwe hivi..
Asubuhi chai ya rangi yenye mchai chai na vitumbua au chapati!! Mchana lunch iwe ugali sembe safi, dagaa a kigoma na mlenda wa bamia!! Usiku wali nazi maharage na mchicha huku kachumbali yenye pilipili mbuzi! Mimi hata Kama iwe Xmas nipate huo msosi najisikia vizuri sana

1397235727516.jpg
 
Ugali wa muhogo kwa majani ya mpilipili au ugali wa dona na kimavi cha nguku.
 
Zogwale dah umeelezea fresh aisee,msosi una raha yake
 
Last edited by a moderator:
Ugali wa muhogo kwa Dagaa flani wanaitwa Kauzu walioungwa kipome cha Karanga pembeni Maharage na MbogaMboga chukuchuku!

Aisee naona wengi wanasifia ugali wa muhogo!hivi sehemu kama dar kuna ugali wa muhogo kweli?
 
Back
Top Bottom