Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
au
unaongelea movie
Wewe jamaa ni wa hovyo sana....
Unaquote li mada lote hilo halafu unaandika kimstari kidogo tu,umequote post yote hiyo ya nini?
Si ungeamdika tu bila ku quote na ungeeleweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au
unaongelea movie
au
unaongelea movie
Wewe jamaa ni wa hovyo sana....
Unaquote li mada lote hilo halafu unaandika kimstari kidogo tu,umequote post yote hiyo ya nini?
Si ungeamdika tu bila ku quote na ungeeleweka?
Nimekuwa Interested kujua habari za hivi viumbe (kama vipo), coz habari zake na mambo yanayosemekana kufanywa na hivi viumbe ni superb. But my question is where is common living place of Aliens in the universe? and if i want to communicate with them what language should i use?
itakuwa KIMAKONDE ndugu....
former canadian defence minister 1963-1967 paul hellyer alisema viumbe hao wapo pamoja nasi ila serikali zinaifanya sirikali
Hivi viumbe bado havijaonekana live ni kusadikika tu hakuna anaejua kama vipo au lah...sababu kubwa ni kwamba hakuna physical evidence popote