What Others Speaks About Tanzania: A Lesson to Other Afrika's Countries

What Others Speaks About Tanzania: A Lesson to Other Afrika's Countries

ahaa haaa
😛🤣🙂🙃
Hujaeleweka bro,
Ungesema USA, UK, Continental Euro Countries, Scandcountries, Saudia, Japan and the like wametapakaa duniani tungeelewana, lakini wewe unataja wachovu ambao nao wanajikwamua kutoka kwenye dhiki.... hapo hutaeleweka.
Kwa wachina ni wachovu tukilinganisha na watanzania ?

Ok. Hata wajerumani wametapakaaa. Mfano hai Huku nilipo shambani tupo na wajerumani kama 20 tunapiga nao shughuli za kilimo.
 
21century bado watu wanafurahia masifa za 20th century.
Sifa za kisasa ni economic sifas,not verbal diarrhea zenye ni story za vitabu.

South Africa is well performing country in term of economic point of view. But life is at risk living over there , you can’t say you are good economically while no peace. You first start with peace and tranquillity
Unaona Americans they have everything but they are now struggling with killings that is always happening in the streets. Huyu Mzungu kaongea vizuri sana na hana unafiki
 
21century bado watu wanafurahia masifa za 20th century.
Sifa za kisasa ni economic sifas,not verbal diarrhea zenye ni story za vitabu.
Enzi za Nyerere ni tofauti na enzi za sasa hivi kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia. Hivyo mbinu za utawala pia zitakuwa tofauti kabisa. Kulinganisha ni kosa la ufahamu
 
Back
Top Bottom