basi ni hulka yako, inakua ni asili ya mtu wanasema sijui 'introvert'😂Nilishawahi kufanya hivyo, kanisani kuna wanaf’ki balaa🚮💔
Mhhhhhhhh......🤔kanisani ni sehemu nzuri ya kuanza kuzoeana na watu,
kanisani si unaenda??
nimekosea??😅Mhhhhhhhh......🤔
Hahhah lini nilikublock etiNi unblock basi auntie
Tatizo linaanzia hapa;Hellow Guys!
Hope mnaendelea vizuri.
It’s “Ms Eyes” again.
Sorry naombeni ushauri ni kwa namna gani naweza kuongeza idadi ya watu as you all know dunia ya sasa hivi bila connections ni ngumu sana kutoboa na hizo connection huwa zinatoka kwa watu. Can you all imagine sina hata watu 90 kwenye mzunguko wangu wa maisha.
Mimi ni aina ya wale watu ambao napata shida ku interact na watu, ni ngumu sana kumzoea mtu, siwezi kukaa kwenye mkusanyiko wa watu wengi. Mara nyingi huwa nipo ndani haswa kama sina shughuli ya kufanya kwa siku hiyo au wakati huo.
Napata shida sana haswa kwa kipindi hichi ambacho nahitaji kazi, nilijaribu kufanya biashara ya kukopesha lakini sikuiweza kwasababu huwa sipendi kuongea na kugombana na watu, hata hivyo nilikuwa napata wakati mgumu kwasababu sikuwa na watu wengi wa kuwatembezea bidhaa zangu.
Marafiki ndio kabisa sina, napitia changamoto nyingi sana sina hata mtu wa kuongea nae au wa kunipa mawazo tofauti ili niweze kuwa sawa kwa kiasi fulani. Simu yangu inaweza isipigwe kwa muda hata wa siku tano😂💔.
NIKO HAPA KUPOKEA USHAURI WENU WAKUU. Ningependa kupewa majibu positive ili nisiendelee kuvunjika moyo though kuna watu wapo watanijibu negative.
HAPPY ENDING WEEKEND Y’ALL.😍
Karibuni!
Wamenishinda, haswa nikijua amenicheat aisee hapana sina ujasiri wa kuwa nae tena.Hawa watoto wa mama mkwe hawajui wanachokitaka,, navyojua wenye hulka kama yako huwa wengi ni waaminifu hawana mambo mengi hawana midomo wala ule unaitwa ufeminist
Labda anashangaa umejuaje dini ya mleta mada!nimekosea??😅
Hebu okoa jahazi mtu asijitundike mtini, unajua ni mtu wa Iringa!Hahhah lini nilikublock eti
Achana naye huyo mkuu hizo drama sizipendi hata nishavuka ukoHebu okoa jahazi mtu asijitundike mtini, unajua ni mtu wa Iringa!
Shunie amejitokeza ila kwanini hataki kujua Mimi ni Nani Kuna Nini au ameolewa?😭
Tafuta hela uache kutusumbua na vitu vya ajabu.www.jamiiforums.com
Pole sana,, inakatisha tamaa sanaWamenishinda, haswa nikijua amenicheat aisee hapana sina ujasiri wa kuwa nae tena.
Thanks babe😍Unatafuta kazi gani?
Weka qualification zako hapa, then wenye msaada watajitokeza kukusaidia.
Kuwa na watu wengi kwa circle sio guarantee watakusaidia au watakua na msaada kwako.
Believe in youself first and everything will fall into place.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani...sidhani kama anahitaji simu za aina hiyoDear kama unataka kupigiwa simu weka no tu hapa jf mbona utawablock mwenyewe
Hahhah lini nilikublock eti
Mbona hilo liliisha muda mrefuTatizo linaanzia hapa;
Ni sahihi kumuacha mpenzi wako kwasababu ameku-cheat?
Hey Guys! Mnaendeleaje, Poleni na majukumu, naomba mawazo yenu juu ya hii changamoto hapa. Hivi ni sahihi kumuacha mpenzi wako aliyekucheat na kama ukiamua kumsamehe ni muhimu kufahamu kuwa mahusiano yao na huyo aliyecheat nae yameishia wapi?www.jamiiforums.com