What story dont you like to hear from Men?

What story dont you like to hear from Men?

NewDawnTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,667
Reaction score
362
Ni fursa kwa wakina dada na wakina mama, uwanja wenu

Personally (sijui kama wapo na wengine) ningependa kufahamu ni aina gani ya mazungumzo (Neno au theme yenyewe) ambayo mara nyingi (kama sio mara zote) hupendi kuisikia kutoka kwa mumeo au mpenzi wako wa kiume?

Ni nini mara nyingi unapenda kukisikia kutoka kwake (neno au theme)?

Tusaidieni tufahamu
 
mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:

SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)

NTARUDI BADAE NA SIPENDI!
 
mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:

SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)

NTARUDI BADAE NA SIPENDI!

Hakya nani vile.....kidogo niingiwe chini ya mvungu wa meza....eti utarudi tena na sipendi?? haya karibu, ngoja tukungoje, tumekupata vema
 
mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:

SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)

NTARUDI BADAE NA SIPENDI!
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)
 
Nakereka naposikia mwanamme akijisifu:

Mimi hivi, mimi vile, mie nilifanya hiki, mie ntafanya kile, mie nimeagiza Prado jipya, mie naenda huku, mie..., mie..., mie...

Mwanamme namna hiyo huwa ananchafuwa roho.

Sasa FF unamaanisha unapenda mwanaume mwenye kitu tunaita "inferiority complex?" au ninakupata vibaya hapa

Maana najua kujikubali ni sehemu ya muhimu kwa mwanaume (niseme kwa mwanadamu) hasa kama alichofanya na kinachomfanya kujisifia ni sahihi...sijui kama sijakupata vema mwaya Foxy.....
 
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)


Hahahaaa, Mkuu Finest umenifanya nicheke sana hapa.....We haya we, ngoja waje hapa....

Yaani.... "Kazi ni Kwako"......."Feel Free"........"Twanga Kotekote"....mmmh, hawa nao wanaochagua hizi motto duh.....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sasa FF unamaanisha unapenda mwanaume mwenye kitu tunaita "inferiority complex?" au ninakupata vibaya hapa

Maana najua kujikubali ni sehemu ya muhimu kwa mwanaume (niseme kwa mwanadamu) hasa kama alichofanya na kinachomfanya kujisifia ni sahihi...sijui kama sijakupata vema mwaya Foxy.....

Naomba soma kitabu kiitwacho "how to win friends and influential peoples" cha Dale Carnegie. Utanielewa. Pole kwa usumbufu.
 

Hahahaaa, Mkuu Finest umenifanya nicheke sana hapa.....We haya we, ngoja waje hapa....

Yaani.... "Kazi ni Kwako"......."Feel Free"........"Twanga Kotekote"....mmmh, hawa nao wanaochagua hizi motto duh.....
Mkuu hizi motto sijui nani huwa anawapa hawa jamaa
 
eeeeh japo napenda pia zipo nyingi
Hakya nani vile.....kidogo niingiwe chini ya mvungu wa meza....eti utarudi tena na sipendi?? haya karibu, ngoja tukungoje, tumekupata vema

we shika adabu yako tena mkono wa kuume,na Sipendi uniombe hivyo vitu
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)
 
Naomba soma kitabu kiitwacho "how to win friends and influential peoples" cha Dale Carnegie. Utanielewa. Pole kwa usumbufu.

Sio usumbufu dada....ntakipata wapi? Kama unaweza kutudadavulia hapa ni nzuri zaidi maana access ya haya mabuku sometimes inakuwa taabu ati.....hebu weka hapa ili wote tunufaike maana kuna mtu mmoja aliwahi kusema kama usipojikubali kwanza mwenyewe huwezi kukubalika na wengine....sasa hapa ni mgongano wa mawazo unaohitaji uchambuzi na unaweza ukatuanzia kwa kile ulichokipata kwenye hilo book
 
eeeeh japo napenda pia zipo nyingi


we shika adabu yak
o tena mkono wa kuume,na Sipendi uniombe hivyo vitu


....................................Unaomba pumzi maiti......................
 
Mazungumzo nisiyopenda kuskia kutoka kwa mwanaume ni,,,kujifisifia kulikopitiliza! its real boring.....

Will be back for another list...:israel:
 
Ni fursa kwa wakina dada na wakina mama, uwanja wenu
Personally (sijui kama wapo na wengine) ningependa kufahamu ni aina gani ya mazungumzo (Neno au theme yenyewe) ambayo mara nyingi (kama sio mara zote) hupendi kuisikia kutoka kwa mumeo au mpenzi wako wa kiume?
Ni nini mara nyingi unapenda kukisikia kutoka kwake (neno au theme)?
Tusaidieni tufahamu


Kuna maneno mengi sana as well as many themes... Na hii naizungumzia kwa wanaume woote wanao husika. Sipendi naneno au themes zinazohusiana na wanawake zikiwa na lengo za kukejeli, dhihaki, dharau uwezo na uwelewa wa mwanamke... Wanaume wakae wakijua nchi yetu hii ni nchi ya mfumo dume toka ilianza mpaka ilipo. Ni juzi tu wanawake wameanza kujitambua na kujihusisha katika mambo ya jamii - na ni wachache saana wameweza fanikiwa hilo. Hivyo basi anatokea mwanaume mwenye uelewa na asiye na uelewa na kunza kumdharau mwanamke kwa matendo na maneno wakisahau kua hizo confidence na positions ni mama zao waliwezesha; na pia kusahau kua dada zao bado wanasafari ndefu mpaka woote wapate uelewa na kujitambua....

Hii statement ya akili ya wanawake bwana!.... Hata niwe wapi, hata uwe na wadhifa gan, hata kama siruhusiwi kukohoa - I dont leave that room mpaka nikupashe na ni defend uwepo wetu wamama...
 
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL ( Twanga KoteKote)


Mkuu kwa post hii naenda badili signature yangu sasa hivi........
........................TWANGA KOTEKOTE..............................
 
Mazungumzo nisiyopenda kuskia kutoka kwa mwanaume ni,,,kujifisifia kulikopitiliza! its real boring.....

Will be back for another list...:israel:
Siwezi kuacha kujisifia ila nitapunguza:israel::israel::israel:lol hapo najua utanipenda
 
Back
Top Bottom