What story dont you like to hear from Men?

What story dont you like to hear from Men?

Hivi yule mbwa tuliyemuagiza dereva ameenda kumpokea airport, walisema anakuja na ndege ya saa nane nilimkatia tiketi ya first class

kwanza hebu nitake radhi kabla cjakunyang'anya share zako huku,mm na mbwa wapi na wapi!
 

kwanza hebu nitake radhi kabla cjakunyang'anya share zako huku,mm na mbwa wapi na wapi!
:lol::lol::lol::lol::lol: Nisamehe mama mimi mkosaji nisije filisiwa bure hata hizo share ndogo zilizobaki nazo ukaninyang'anya.
 
It wont be a long wait... But i think nawee u-play part yako. Mshauri your elder aache kua too demanding, inanifanya nisiwe na mda wa ziada for ratiba kidogo imekua ngumu... Ndio na enjoy lakini....
Nitamwambia for the time being he should step aside, i will play my part anything you want to know and ask from me let me know
 
Nimekupata....mmmh, sijui huwa ni kupitiwa au! ....anyway, bad lucky ni kuwa "You are not Rose"


Yeah You can say that again................ and sometimes utakuta the guy spend a lot of time blaming that 'Rose' of his yaani anataka kukufanya ujione wewe ni bora na anaregret kukutana na huyo 'Rose' kwanza kabla yako..........wanasahau kuwa teh only message we anre getting ni kuwa .....he is still into 'Rose'..................phweee :israel:
 
Nitamwambia for the time being he should step aside, i will play my part anything you want to know and ask from me let me know

Good.. But asi step aside kabisa, yani kidogo tu - ngoja nizunguke banda la uani kwa ajili ya maswali...lol
 
Yeah You can say that again................ and sometimes utakuta the guy spend a lot of time blaming that 'Rose' of his yaani anataka kukufanya ujione wewe ni bora na anaregret kukutana na huyo 'Rose' kwanza kabla yako..........wanasahau kuwa teh only message we anre getting ni kuwa .....he is still into 'Rose'..................phweee :israel:

Yeah, this is the message real.....nakuelewa kwa sababu nilikuwa mhanga sana wa hili nikidhani najijengea credential zangu zaidi kwa kumuonesha kuwa yeye ni bora zaidi and am happy to have her kwa kuwa ni special zaidi ya ex wangu.......

duh, kumbe nilikuwa naongeza Sukari kwenye Asali ili kuinogesha na matokeo yake nilikuwa namuumiza mlaji
 
Yeah You can say that again................ and sometimes utakuta the guy spend a lot of time blaming that 'Rose' of his yaani anataka kukufanya ujione wewe ni bora na anaregret kukutana na huyo 'Rose' kwanza kabla yako..........wanasahau kuwa teh only message we anre getting ni kuwa .....he is still into 'Rose'..................phweee :israel:
Halafu wamama/wadada wengi huwa hawasemi/hawaambii waenzi/wapenzi wao what they don't like to hear kwa kuwa waogopa kuachwa that's one of the reason.
 
Halafu wamama/wadada wengi huwa hawasemi/hawaambii waenzi/wapenzi wao what they don't like to hear kwa kuwa waogopa kuachwa that's one of the reason.


Mkuu hapo kwenye kuogopa kusema ni sehemu ya kuendelea kwa tatizo lililopo

Katika hili naona matatizo mawili makuu

1. Ladies hawasemi bali hukenua na kumfanya mwanaume aone Yes, hapa ni penyewe hapa....
2. Wanaume wakiambiwa huwa wanang'aka na kuacha kutorudia tena

So ni pande zote kufanya inavyostahili.........A lady must be strong and speak out her emotions and feelings and Men must accept the feelings/emotions of his partner and stop fumbling.....at least will serve kwa maana hakuna faida sana katika hili zaidi ya kumuumiza mwingine
 
mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:

SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)

NTARUDI BADAE NA SIPENDI!
eeeeeeenhe endelea,nakusikiliza.......
 
Kuna maneno mengi sana as well as many themes... Na hii naizungumzia kwa wanaume woote wanao husika. Sipendi naneno au themes zinazohusiana na wanawake zikiwa na lengo za kukejeli, dhihaki, dharau uwezo na uwelewa wa mwanamke... Wanaume wakae wakijua nchi yetu hii ni nchi ya mfumo dume toka ilianza mpaka ilipo. Ni juzi tu wanawake wameanza kujitambua na kujihusisha katika mambo ya jamii - na ni wachache saana wameweza fanikiwa hilo. Hivyo basi anatokea mwanaume mwenye uelewa na asiye na uelewa na kunza kumdharau mwanamke kwa matendo na maneno wakisahau kua hizo confidence na positions ni mama zao waliwezesha; na pia kusahau kua dada zao bado wanasafari ndefu mpaka woote wapate uelewa na kujitambua....

Hii statement ya akili ya wanawake bwana!.... Hata niwe wapi, hata uwe na wadhifa gan, hata kama siruhusiwi kukohoa - I dont leave that room mpaka nikupashe na ni defend uwepo wetu wamama...
I beg to differ AshaD,hii stereotyping nanyi kinamama mnatufanyia tena kwa sana,si kila siku mnasema sisi wanaume ni kama fisi maji kokote tutatumbukiza nonino zetu,au sio nyie mnasema?
 
It wont be a long wait... But i think nawee u-play part yako. Mshauri your elder aache kua too demanding, inanifanya nisiwe na mda wa ziada for ratiba kidogo imekua ngumu... Ndio na enjoy lakini....

what else would a baby gal like you like from a MAN....LOL:israel:
 
Kama nimekuelewa vizuri unamaanisha ni nini nisichopenda kukisikia au ni topic gani nisopenda kuisikia kutoka kwa mume wangu................. Discussion juu ya EX zake au wake.........iwe mbaya iwe nzuri (What has been burried should remain where it is). Kuna wanaume wengine yaani kila ufanyacho utasikia '....angekuwa Rose hapa angefanya hivi' Sipendi.

Si angeenda kwa huyo Rose? Hii inakera haswa!

Bado yule ambaye kila mnachoongea akamuulize mama yake! Kiasi kwamba ukishauri kitu utasikia, 'ngoja ntacheki na mama'.Hapa nachoka kabisa. Akina baba, trust me, hii biashara ndio mnafanya gap kati ya wake zenu na mama zenu linakuwa kubwa kila kukicha.
 
I beg to differ AshaD,hii stereotyping nanyi kinamama mnatufanyia tena kwa sana,si kila siku mnasema sisi wanaume ni kama fisi maji kokote tutatumbukiza nonino zetu,au sio nyie mnasema?


Bishanga acha sisi akina dada wa mjini ambao tumeota mabawa na hamtudanganyi kwa lolote sababu wanawake wadanganyaji nao ni lukuku (na hao ndo hujastify such stereo typing kutetea kutokuwa na uaminifu kwa wenza) ... En ways Bishanga hii issue bado nikubwa sana huko vijini, mawilayani, etc Hao wanakua more affected.

Bishanga rafiki pleeeease kubaliana namimi.... mana kama ukubaliani naona ni wakati ule wa kuanza kujidefend as a woman....
 
what else would a baby gal like you like from a MAN....LOL:israel:


Sweet K, naogopa kusema yalo moyoni maana nitapigwa BAN!...En ways acha kujibalaguza na uniambie maneno gani mabaya unayo ongea wakati wadada hatupo ???
 

Mkuu hapo kwenye kuogopa kusema ni sehemu ya kuendelea kwa tatizo lililopo

Katika hili naona matatizo mawili makuu

1. Ladies hawasemi bali hukenua na kumfanya mwanaume aone Yes, hapa ni penyewe hapa....
2. Wanaume wakiambiwa huwa wanang'aka na kuacha kutorudia tena

So ni pande zote kufanya inavyostahili.........A lady must be strong and speak out her emotions and feelings and Men must accept the feelings/emotions of his partner and stop fumbling.....at least will serve kwa maana hakuna faida sana katika hili zaidi ya kumuumiza mwingine
Tumekuwa na ile hulka wote wanaume/wanawake kwamba ukimwambia mtu fulani haupendi kitu fulani unakuwa unaogopa kuwa atajisikia vibaya, kama alivyosema MwanajamiiOne hata mimi ile tabia ya mtu kuanza kuniambia "Sijui angekuwa John au Edward yaani hili suala angekuwa ameishanifanyia" hii kitu huwa inakera sana
 
Ntafute nnakufaa kabisa manake ni kigezo kimoja tu ndo ntashindwa kukitimiza-mimi ni mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake.
 
Back
Top Bottom