mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:
SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)
NTARUDI BADAE NA SIPENDI!
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:
SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)
NTARUDI BADAE NA SIPENDI!
Nakereka naposikia mwanamme akijisifu:
Mimi hivi, mimi vile, mie nilifanya hiki, mie ntafanya kile, mie nimeagiza Prado jipya, mie naenda huku, mie..., mie..., mie...
Mwanamme namna hiyo huwa ananchafuwa roho.
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)
Sasa FF unamaanisha unapenda mwanaume mwenye kitu tunaita "inferiority complex?" au ninakupata vibaya hapa
Maana najua kujikubali ni sehemu ya muhimu kwa mwanaume (niseme kwa mwanadamu) hasa kama alichofanya na kinachomfanya kujisifia ni sahihi...sijui kama sijakupata vema mwaya Foxy.....
Mkuu hizi motto sijui nani huwa anawapa hawa jamaa
Hahahaaa, Mkuu Finest umenifanya nicheke sana hapa.....We haya we, ngoja waje hapa....
Yaani.... "Kazi ni Kwako"......."Feel Free"........"Twanga Kotekote"....mmmh, hawa nao wanaochagua hizi motto duh.....
Hakya nani vile.....kidogo niingiwe chini ya mvungu wa meza....eti utarudi tena na sipendi?? haya karibu, ngoja tukungoje, tumekupata vema
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)
Naomba soma kitabu kiitwacho "how to win friends and influential peoples" cha Dale Carnegie. Utanielewa. Pole kwa usumbufu.
Sasa nikuombe vitu gani vingine??eeeeh japo napenda pia zipo nyingi
we shika adabu yako tena mkono wa kuume,na Sipendi uniombe hivyo vitu
Hahahaha!! Huyu bado anapumua....................................Unaomba pumzi maiti......................
Sasa nikuombe vitu gani vingine??
Ni fursa kwa wakina dada na wakina mama, uwanja wenu
Personally (sijui kama wapo na wengine) ningependa kufahamu ni aina gani ya mazungumzo (Neno au theme yenyewe) ambayo mara nyingi (kama sio mara zote) hupendi kuisikia kutoka kwa mumeo au mpenzi wako wa kiume?
Ni nini mara nyingi unapenda kukisikia kutoka kwake (neno au theme)?
Tusaidieni tufahamu
Ahaaa!!! Wapi impossible ni kama vile umpe ustaadhi biriyani ya kitimotoomba uwe mdogo wangu wa frm another maza
Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL ( Twanga KoteKote)
Siwezi kuacha kujisifia ila nitapunguza:israel::israel::israel:lol hapo najua utanipendaMazungumzo nisiyopenda kuskia kutoka kwa mwanaume ni,,,kujifisifia kulikopitiliza! its real boring.....
Will be back for another list...:israel: