Ndo maana unaandika hayaCatherine Kyobutungi receives funding from Sida, BMGF, Carnegie Corporation in New York, African Academy of Sciences, and the Hewlett Foundation.
African Population and Health Research Center provides support as a hosting partner of The Conversation AFRICA
Tutajuaje mbona unayajua hayo yote! Lazima wewe ni murundi wa Gitega!Nitakuwaje mrundi mimi kwani Nina roho mbaya ya kuweza kumfyatulia mtu risasi 16 na kumyima matibabu?
they have more pernicious headaches to grapple with than changing the regime in Dodoma over vaccine distribution...Dunia itamuondoa Bwana yule kwenye hicho kiti.Wakubwa wa hii dunia hawawezi mvumilia.
Kumbe wewe ni lipumbavu? Unaongozwaje na kichaa? Si utakuwa taahira kabisaMkuu..sasa hivi ndio madhara ya kuongozwa ma kichaa yanaonekana.
Ona haka nakoDunia itamuondoa Bwana yule kwenye hicho kiti.Wakubwa wa hii dunia hawawezi mvumilia.
Unataka akuchukue akulee pale kwake?Huyu kweli Ni mrundi toka Burundi, hajali maisha ya Watanzania. Ana roho mbaya Kama shimo la choo
Kwani wewe umekatazwa kudungwa hiyo chanjo?Kabisa Mkuu, mtu mmoja anatuamulia Watanzania 60 millions bila hata ya kuwashirikisha wataalamu wa mambo ya afya kama vile madaktari. Mbona chanjo nyingine Watanzania tumezitumia kwa miaka chungu nzima bila matatizo yoyote!?
Hamia kenya au hata marakani nyumbu weWe have failed as a nation ,i feel ashamed! Pathetic regime !
Kamuua nani?Tuna kiongozi muuaji. Ataingia kwenye historia ya nchi na Dunia. Hana huruma huyu bwana.
Sasa cha ajabu ni nini? Huko ulaya wanakufa wangapi?Uko ulimwengu gani leo tu mzee mwandosya ameadmit babaake mdogo kaondoka na UVIKO
Tataizo lako unekabidhi akili kwa watu wawaze kwa ajili yako!Wakifanya hivyo kwa kweli itakuwa ni baraka kubwa kwa Dunia.
Mara ya kwanza aliposema mwenyewe kuwa ni kichaa, niliona kama joke, ila sasa nimeamini, huyu bwana siyo mzima. Hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza kujidunga yeye kinga halafu akabakia kufurahia vifo vya watu wake.
Ona kama hii takatakaWatanzania watalipa price ya kuweka maiti ikulu!
Soma tu upite halafu kakojoe ulale. Huna ubongo wa kuhimili mjadala huu. Kukujibu ni kukupa umaarufuUnataka akuchukue akulee pale kwake?
Au unataka akufanyieje?
Unaambiwa kuugua Corona nakupona haikupi kinga ya milele bali ni miezi kadhaa,unaweza ukaikwaa tena.Machapisho meeengi yakuleta hofu tu, lakini Hadi muda huu Corona inaelekea kibra kwani wengi wa Watanzania wameshaugua na kupona, hivyo kufanya kinga zao kuwa imara zaidi na kuyashinda haya maradhi
Huna jibu ndio maana!Soma tu upite halafu kakojoe ulale. Huna ubongo wa kuhimili mjadala huu. Kukujibu ni kukupa umaarufu
Bure kabisa wewe Marakani ndio wapi?! NktHamia kenya au hata marakani nyumbu we
Nyie bavicha ni wajinga, acheni kutupigiaa kelele nendeni mkadungwe hizo sindanoBure kabisa wewe Marakani ndio wapi?! Nkt
Mwandosa ana umli gani na babaye ndogo uyo alikuwa na umli gani?mtu ata akifa kwa uzee tiyari corona?amejuaje kuwa ni corona wakati wanasema serikali haipimi corona?Uko ulimwengu gani leo tu mzee mwandosya ameadmit babaake mdogo kaondoka na UVIKO