What To Do On First Date...!!!??

What To Do On First Date...!!!??

Hehehe umenifanya nikumbuke mabibo enzi hizo shemeji ake shoga angu alinizoea ila akawa anashindwa ataanzaje hiyo siku kanipigia nkwamwambia niko rum kaja mwenyewe hadi blok B anahema mikono haijatulia vile namwambia karibu ukae nashangaa sentensi inamtoka "una boyfriend?"Nilijikaza kucheka coz nilishamsoma. Nkamwambia "eeeh nnae "maskini huyooo akaondoka hata hakukaaa. Hii mambo hata ufanye mazoezi ukimuona mhusika vina evaporate ati

Shikamoo naniliu....shemeji.....
 
Hehehe umenifanya nikumbuke mabibo enzi hizo shemeji ake shoga angu alinizoea ila akawa anashindwa ataanzaje hiyo siku kanipigia nkwamwambia niko rum kaja mwenyewe hadi blok B anahema mikono haijatulia vile namwambia karibu ukae nashangaa sentensi inamtoka "una boyfriend?"Nilijikaza kucheka coz nilishamsoma. Nkamwambia "eeeh nnae "maskini huyooo akaondoka hata hakukaaa. Hii mambo hata ufanye mazoezi ukimuona mhusika vina evaporate ati
hahahah, mkuu umenivunja mbavu. aisee mimi ni kibisa ila huyo jamaa alikua ni Kibisest
 
Back
Top Bottom