wana jf da! nahisi labda sijajua mapenz yakwel ni yapi,what girls like?,what man like ,,kwanini mahuziano yanakua yakawaida kiivo yan kama kuigiziana kirahisi rahisi tu vile!me sijielewi labda nife alone madem wanazingua sijui utoto !!Ja!!so comfused nishaulini niwafanye nini madem ntakufa kwa stress...