What u have to know about men

What u have to know about men

tutawahamishia kwenye jukwaa la spoti sasa!😀

Mechi ya jana ilikuwa bomba sana mtanange utakaofuata stamford bridge mi sipo bora wamrudishie JT kale kasmall house tu na cole wamwachie wale 5!
 
hahaha, ataweka tu lakini najua utakijump kama kawaida

usingekuwa intelligent ivo usingekuwa kama ulivo na heshima zako tele

thank you!!!

Ataruka vyote lakini kihunzi cha kwangu anashindwa kuruka akiruka tu anachanika msamba bht

dah mpwa cha kwako sio cha kawaida hilo liko wazi kabisa kama Yanga atakavomfunga Simba next game mpwa

waaaaaaaaaaaaaaaat!!!! kwa hiyo na wewe unamsapoti eeeh! kwa taarifa yako cha Fide ndo cha kikadogoooooo kabisaaaa!!!!

We are just men!
very happy to be born this way!
Excited to be discussed by all ya!
Proud to be the way we are

Its just nice that you have a 0.05% understanding of men...
But that's all right

umefungulia leo wala usiende kufuturu......
 
KUNA WAKATI NI BORA UKANUNUA KIPANDE CHA SABUNI TU!hehehehehe😀😀

hahaaaa ujue nacheka kwa hasira kakaake hapa.........yaani sabuni na sisi....bora sabuni duh!!!
 
hahaaaa ujue nacheka kwa hasira kakaake hapa.........yaani sabuni na sisi....bora sabuni duh!!!
kama umenisoma vyema nimesema KUNA WAKATI!.....

hata hivyo swala la nnani zaidi kati yenu na SABUNI ni thread hiyo ya siku nyingine.(umenipa wazo mpwaaz wake mimi😀)
 
waaaaaaaaaaaaaaaat!!!! kwa hiyo na wewe unamsapoti eeeh! kwa taarifa yako cha Fide ndo cha kikadogoooooo kabisaaaa!!!!......

Ingia ucheze utamu wa ngoma huanza na leleleleleleel baadae ngungungungungu.
Ruksa kujongea nami let's go baby.
 
thank you!!!


waaaaaaaaaaaaaaaat!!!! kwa hiyo na wewe unamsapoti eeeh! kwa taarifa yako cha Fide ndo cha kikadogoooooo kabisaaaa!!!!

mh...B..mwangalie sana mambo mengine hayasemeki unajikuta umeingia ndani tu huskii huambiwi
 
utaumiza kichwa kubishana hapa.....ukweli i tunao wenyewe we waacheee hivo hivo


mwamba ngoma...........................


......Hulainisha ngozi kwenye maji ili azikate na kuzitumia kama kamba ya kuwambia ngoma!!! 🙂
 
Ingia ucheze utamu wa ngoma huanza na leleleleleleel baadae ngungungungungu.
Ruksa kujongea nami let's go baby.
mzee gia zako dah!ndo maana watoto wa zanaki huwa hawachomoki kabisa😀😀😀
 
mh...B..mwangalie sana mambo mengine hayasemeki unajikuta umeingia ndani tu huskii huambiwi

Mwambie mpwa mambo mengine ni natural atajikuta hajitambui wala hasikii la kuambiwa.
 
mzee gia zako dah!ndo maana watoto wa zanaki huwa hawachomoki kabisa😀😀😀

Jiulize kwa nn yule mlokole hapa ameng'ang'ania licha ya kujua huwa nakuwa bwax na valuu huyu akigusa tu balaa.
 
kama umenisoma vyema nimesema KUNA WAKATI!.....

hata hivyo swala la nnani zaidi kati yenu na SABUNI ni thread hiyo ya siku nyingine.(umenipa wazo mpwaaz wake mimi😀)

hukuhitaji kuniwekea hiyo, nshakusoma kitambo kakaake mbona!!!!!
afu kweli hebu compile ulete tujadili hapa tuone nani zaidi..(jibu lipo tayari lakini tutaformalize tu) hahaaaaa!!!! mpwazzz bana....
 
Jiulize kwa nn yule mlokole hapa ameng'ang'ania licha ya kujua huwa nakuwa bwax na valuu huyu akigusa tu balaa.
😀😀😀
bht angalia mama!
jamaa ana KIZIZI.kama uluiwahi kufanya appointment nae UMEKWISHA.kizizi chake huanza kazi baada ya miezi mitatu
 
......Hulainisha ngozi kwenye maji ili azikate na kuzitumia kama kamba ya kuwambia ngoma!!! 🙂

mwalimu wako alikuwa anajua fasihi simulizi tu wewe............
lakini umegusa nilipotaka hence there is no harm bt only good
 
😀😀😀
bht angalia mama!
jamaa ana KIZIZI.kama uluiwahi kufanya appointment nae UMEKWISHA.kizizi chake huanza kazi baada ya miezi mitatu

huyo hanipi tabu
anajua kabisa hapa keshachuna breki za mbuzi
aniache mie kwa msukuma siambiwi.........
pole thamaki poleeeeeeeee................
wacha watoto wa zanaki waendelee kumla thamaki hahaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom