Kazi kuchafuliana majina tuKwani yuko wapi? Au kaolewa tayari anatunza mume wake?
Hiyo picha nimecheka hadi mbavu zinauma, asante sana mkuu!
Jibu muruaaah.wewe usingekuwa karibu na hao mashoga wala hayo mawazo juu ya muonekano wa mwenzio yasingekusumbua
Makubwaaaaah mmmmhNasikia dogo kasha chomoa betri uko sijui ni yeye au watu wanamsingizia
Ni wivu tu in gwaji voice View attachment 1423065
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu dogo si yuko Pemba kaolewa na Sheikh Mahmoud? Dogo toka aolewe hatoki nje, yeye ni ndani tu hata sokoni haendi.
"Nilikuwa nacheza nao tu wakalala"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unamtongozea wapi? kwenye maigizo? kama amevaa uhusika wa mwanamke na wewe ukamfananisha na mwanamke inabidi ukubali ndio kuitendea haki sanaa yake, sasa ulitaka avae uhusika wa wema sepetu ila afanane na kingwendu? ebu wabongo tupunguze stress kidogo. Je angevaa uhisika wa ushoga ingekuwa vipi. sio kila jambo unalipokea kwa mohemko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNyinyi mnaomtetea, siku akitiwa mimba ndio mtajua kama sanaa au makatapela.
Jamaa mfiraji huyo usishangae kusisimkwa kwa kumuangalia mwanaume mwenzie wakati hako kadogo kanajaribu kuuvaa uhusika wa kike katika sanaa kujaribu angalau pawe na namna fulani ya uhalisia japo kwa mtazamo/maoni yangu sehemu ya mwanamke aigize mwanamke na huyo dogo aigize kama kijana wa kiume.Tatizo liko wapi, hiyo ni sanaa tu, ila hisia zako zilikokupeleka wewe ndo mwenye tatizo
Ipo siku watamtindua
Ushawahi kufika?Kwa mpalange kuna jotooo.
Huyu bwege kaua vifaranga
Ushawahi kufika?