what's the differece btn LLB for 3yrs and that of 4yrs b'se it's the same degree, why?

what's the differece btn LLB for 3yrs and that of 4yrs b'se it's the same degree, why?

jacksonmjuni

Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
6
Reaction score
1
naomba wana JF wenye ufahamu na uelewa wa kina juu ya hili mnijuze kwa sababu hapa Tanzania kuhusu degree ya sheria ambayo baadhi ya vyuo hutoa kwa miaka 3 na vingine miaka 4 hiyo hiyo degree, tofauti yake ni nini kwa hao graduates with th same and similar degree?
 
Back
Top Bottom