What's the strangest thing that's happened to you on the bus?

Kuna siku late 90's nilikuwa nasafiri kwenda mwanza kwa njia ya kati....nimekaa siti ya watatu na hao wenzangu ni mtu na gf wangu....kufika manyoni porini gari likaharibika so tulilala hapo...usiku jamaa si wakaanza shughulika...kushuka kwenda nje ni giza na hatari...kubaki ndani napo mtihani...usitake kujua nilifanyaje
 

aisee tom and jerry is the be all and end all...i would watch it anytime of the day...i love the programme...
 
kitu strange kimewahi nitokea ni . . .'kulipa nauli' By then nilikuwa bado mimba tu.


Hivi kongosho huyo mwanaume hapo kwenye avatar hachoki? Mbona kama anamwonea huyo aliyeko mgongoni?
 

Kama vile nataka kujua ulifanyaje
 
Poleeee. Usilie, ni maisha tu, it was meant to be. get a comforting :hug:
 
i was in a daladala going to school and this dude akifikiria mimi zoba kama yeye akawa ananipa mchongo wa kwenda kuiba supermarket..skia wimbo wake " Dogo unaonekana mjanja kweli, sasa skia (tukiwa tumepaki daladala katika kituo flani kilichopo karibia na supermarket) unaiona ile supermarket?? twende tukawalize, wewe nipatie kama buku mbili hapo halafu mimi naingia ndani kama nataka kununua vitu, wewe unanisubiri nje kucheki noma , naiba then tunasepa zetu" akifikiri nitampatia buku mbili yangu then asepe aniache mataa..jinga kweli..
 
KOJO lilinibana...toka MWENGE kwenda posta...foleni...nikaona isiwe shida...nikalimwaga kwenye kona flani...ndani ya DALADALA!
 


dah ebana pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…