The Boss Watch this Video:Hivi nini kinaendelea?
ni mental issues au kuna mengine?
nimeona kuna watu wanahusisha na Illuminati....
nimeona clip ya DMX....
Kanye West ana tatizo gani hasa?
Paulo Sergio De Souz Nyani Ngabu
BAK
Kanye hata mie nimeona mitandaoni wakihusisha na illuminati, Mara kardashian curse inampata maana kila mwanaume ajihusishaye na hyo family huharibikiwa, though yanasemwa mengi lakini ukute ni tatizo tu la kawaida la kuugua ka wengine.
BangiHivi nini kinaendelea?
ni mental issues au kuna mengine?
nimeona kuna watu wanahusisha na Illuminati....
nimeona clip ya DMX....
Kanye West ana tatizo gani hasa?
Paulo Sergio De Souz Nyani Ngabu
BAK
Nadhani ni stress zimemzidia tu. Kuna taarifa kuwa jamaa kwa namna fulani huwa anajilaumu kwa kifo cha bi mkubwa wake. Sasa jumlisha na stress za madeni(kumbuka aliomba msaada kimtindo kwa Zuckerberg), mkewe kuibiwa, ugomvi wake na paparazzi, Jay-Z kujiweka mbali nae kiaina....Jamaa lazima alemewe.
Freemason is directly involved, when he ignored his show n diss MTV and other radio, Beyonce, Jay z..he said " I know this gonna cost me, my family, my life and my entire carrier but I got this, MTV f*** u, radio f****" then he moved out of platform, then after we started to hear that kanye has undergone mentally disorders... Some American artist make a jokes out of it as they know what is goin on... Yesterday tweet from wizkhalifa is a kinda joke to him " he just need weeds that's it" said wizkhalifa..... Freemason **** tha hell out of yow, leave kanye alone pal, this is a fucking organization n may God punish you [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah!Kapandisha jini/karuhani huyo watu wanadhani kawa chizi ,toka lini chizi akakataa msosi
Jini la ki illuminati limepanda
Kanye tokea afiwe na mama yake alipata depression inayomsumbua hadi leo, inasemekana jamaa amekuwa na hasira iliyopitiliza na anaweza kukubadilikia muda wowote bila kujari wewe ni nani, ameshakwenda rehab mara kadhaa na councelling bila mafanikiko!
Hili la madeni limenishangaza
mkewe utajiri wake ni mara tatu ya madeni anayodaiwa kuwa nayo
Hata ukimwangalia usoni unagundua jamaa kichwani panachemka, jamaa ni kichwa sana naamini huu ni upepo tu utapita na atarudi even stronger!hili laweza kuwa kweli
kwa sababu mama yake alikufa November
inaonekana ikifika November anakumbuka maumivu
Freemason is directly involved, when he ignored his show n diss MTV and other radio, Beyonce, Jay z..he said " I know this gonna cost me, my family, my life and my entire carrier but I got this, MTV f*** u, radio f****" then he moved out of platform, then after we started to hear that kanye has undergone mentally disorders... Some American artist make a jokes out of it as they know what is goin on... Yesterday tweet from wizkhalifa is a kinda joke to him " he just need weeds that's it" said wizkhalifa..... Freemason **** tha hell out of yow, leave kanye alone pal, this is a fucking organization n may God punish you [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Hilo nalo laweza kuwa tatizo pia niliona kuwa ana madeni makubwa sana yanamchanganya akili sana kanye.Yaani nilikuwa si pay attention na habari za ma stars kujiunga na Illuminati
lakini hili limenishangaza sana
Sababuniliwahi kuona clip moja inasema DMX alipokataa kujiunga nao
wakaanza kumuandama nusu wamuue...
sasa nikaona hili la Kanye DMX anamwambia Kanye awe strong...Mungu yupo..
imenishangaza hili
Hafu humpanda siku na tarehe mamake alivokufa ati wanadai alimtoa kafara I feel sorry for kanye kwa kweli.Kapandisha jini/maruhani huyo watu wanadhani kawa chizi ,toka lini chizi akakataa msosi
Jini la ki illuminati limepanda